Mwakitobile
JF-Expert Member
- Oct 4, 2012
- 452
- 120
Dr. Slaa amewaharibu vijaan wa bavicha. Yaani yeye hata kugombea urais hataki mpaka alipwe pesa. Ndio maana mnaamini mtu hawezi kufanya kitu bila kulipwa!!!
Hata gaidi LUDO alilipwa 50,000/=
Dr. Slaa amewaharibu vijaan wa bavicha. Yaani yeye hata kugombea urais hataki mpaka alipwe pesa. Ndio maana mnaamini mtu hawezi kufanya kitu bila kulipwa!!!
Mkuu wamekukurupua ulikojificha? Tumbo baya sana...tiririka mkuu...Mkuu, Mudi Mtoi, ni kweli mimi ni kipenzi cha EL, ndio maana nikampendekeza asimamishwe kama mgombea wa CCM ili atumike kama "pace maker" ili litimie lile neno "rais wa 2015" lazima atoke Kaskazini!".Pia ni kweli naiabudu sana CCM ndio maana nikaisifu kwa kusema, CCM Imechokwa na mimi ndie mtu wa mwanzo huku kumsifu Mwenyekiti wa CCM kwa kumuita JK ni Kiongozi Dhaifu!, ndio maana ninawaabudia hata kina Chenge, Sitta na kina Mwigulu, huku nikiishutumu Chadema kila kukicha!.Pasco.
Akili za vijambio hizi! Kiongozi hadi awe mwenyekiti wa Chama? Hovyo kabisa wewewasira na sitta ni wenyeviti au makatibu wakuu wa chama gani? TUMIA FIKRA HURU , mwanadamu aliumbwa HURU jifungue minyororo ya kuataka watu wafikiri kwa niaba yako.
Yule dogo hapati jani kweli?"Aliyevujisha barua ana uhusiano na kiongozi mwanadamizi au ana shughuli andamizi kwenye Chama" ZZK
Chadema hali si swali kabisa.
Yule dogo hapati jani kweli?"Aliyevujisha barua ana uhusiano na kiongozi mwanadamizi au ana shughuli andamizi kwenye Chama" ZZK
Kijambio ni wewe uliyeruhusu mwanaume mwenzio awaze na kuamua hatma yako, to hell kijambio kabwelaAkili za vijambio hizi! Kiongozi hadi awe mwenyekiti wa Chama? Hovyo kabisa wewe
Chadema inatisha mbaya.
Hahahahaaa....mkuu akili yako imechanganyika na ushuzi. Ndio maana unapost kiushuzi ushuzi tu hapa jukwaani...Kijambio ni wewe uliyeruhusu mwanaume mwenzio awaze na kuamua hatma yako, to hell kijambio kabwela
Hivi ofisi ya Zitto na ya Slaa zipo kwenye umbali mkubwa kiasi gani? Dr. Slaa ni katibu mkuu na Zitto ni Naibu katibu mkuu. Hivi kulikuwa na sababu yoyote ya msingi ya Zitto kumwandikia barua Dr. Slaa? Kwanini hakwenda kuongea naye in person au asubiri vikao ambavyo yeye ni mmoja wa wapangaji wake ili atoe hilo pendekezo? CHADEMA hakuna utaratibu wa vikao vya dharura vya viongozi wakuu wa chama? Kwani hakuomba kikao cha dharura, na hasa kwa jambo kubwa kama hili?
Na kwanini barua ilivuja? Mbowe amegundua kwamba Zitto anataka kuwachezea akili. Na wanataka wamwonyeshe kwamba hawanunuliki kirahisi hivyo kwa pesa za mafisadi. Zitto anatakiwa atulize akili kidogo katika utendaji wake wa mambo. Asitafute sana kuonekana.
Hahahahaaa....mkuu akili yako imechanganyika na ushuzi. Ndio maana unapost kiushuzi ushuzi tu hapa jukwaani...
Kiazi pisha wewe, kuna chama cha upinzani kilishakua tz kama anachokiongoza mbowe? Nan kakifikisha chama hapo?Mie nilikuwepo ubungo plaza,niliingia saa sita na nusu mchana nikatoka saa nane kamili mchana.Nakiri kuwa kama chadema kinataka kukua basi Mbowe aachie ngazi! Huyu jamaa hana lolote kabisa,awaachie akina mnyika na wengine waongoze chama,ni mtupu ajabu
Duh! Basi nikaushie mwanangu
ulimaanisha shwali! Unakulupuka sana au mnashindana kwa post ili mpate pesa yakutosha!
Pamoja mwana..Poa man wacha niendelee kupata heineken baridi hapa, weekend njema
Mataputapu hayo,chupa tu ndiyo kutoka uholanzi,hacha mbwembwePoa man wacha niendelee kupata heineken baridi hapa, weekend njema
Mie nilikuwepo ubungo plaza,niliingia saa sita na nusu mchana nikatoka saa nane kamili mchana.Nakiri kuwa kama chadema kinataka kukua basi Mbowe aachie ngazi! Huyu jamaa hana lolote kabisa,awaachie akina mnyika na wengine waongoze chama,ni mtupu ajabu