Mie nilikuwepo ubungo plaza,niliingia saa sita na nusu mchana nikatoka saa nane kamili mchana.Nakiri kuwa kama chadema kinataka kukua basi Mbowe aachie ngazi! Huyu jamaa hana lolote kabisa,awaachie akina mnyika na wengine waongoze chama,ni mtupu ajabu
Sawa umesema,
Na nccr, tlp, cuf, DP, UDP, CCJ n.k wakitaka kukua wafanye nini?
CCM ikitaka kukubalika tena ifanye nini?
Na la mwisho kwa mawazo yako, kati ya ccm nccr, TLP, CUF, UDP, DP, CCJ na CDM ni chama kipi kinakua kwa kasi?
Kwa mantiki hiyo ushauri wako wa kukuza vyama ungeupeleka kwenye vyama visivyokuwa, vilivyodumaa, na vinavyoshuka chini kama ccm.
Kinyume cha pale wewe ni mnafiki tena un ahila na hila ni dhambi. INAKUPASA KUTUBU.