Chilipamwao
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 523
- 128
Taswira we ulishafukuzwa CDM sasa mbona hupati usingizi Kwa mambo yetu.
Hivi ofisi ya Zitto na ya Slaa zipo kwenye umbali mkubwa kiasi gani? Dr. Slaa ni katibu mkuu na Zitto ni Naibu katibu mkuu. Hivi kulikuwa na sababu yoyote ya msingi ya Zitto kumwandikia barua Dr. Slaa? Kwanini hakwenda kuongea naye in person au asubiri vikao ambavyo yeye ni mmoja wa wapangaji wake ili atoe hilo pendekezo? CHADEMA hakuna utaratibu wa vikao vya dharura vya viongozi wakuu wa chama? Kwani hakuomba kikao cha dharura, na hasa kwa jambo kubwa kama hili?
Na kwanini barua ilivuja? Mbowe amegundua kwamba Zitto anataka kuwachezea akili. Na wanataka wamwonyeshe kwamba hawanunuliki kirahisi hivyo kwa pesa za mafisadi. Zitto anatakiwa atulize akili kidogo katika utendaji wake wa mambo. Asitafute sana kuonekana.
Wewe ni Mbuzi pori. Umepoteza muda wote kuandika utumbo huu? Familia yako ina hasara
Mie nilikuwepo ubungo plaza,niliingia saa sita na nusu mchana nikatoka saa nane kamili mchana.Nakiri kuwa kama chadema kinataka kukua basi Mbowe aachie ngazi! Huyu jamaa hana lolote kabisa,awaachie akina mnyika na wengine waongoze chama,ni mtupu ajabu
Ya Kagasheki na Mwigulu Loliondo ni kauli moja???
Masaburi wewe!!!ungekuwepo kweli kwa wale makamanda tungeshakuchomoa na haki ya nani tungekutafuna kiungo kimoja kimoja mpaka uishe,nyang'au kabisa!!!!uongo wenu utawaua..Mie nilikuwepo ubungo plaza,niliingia saa sita na nusu mchana nikatoka saa nane kamili mchana.Nakiri kuwa kama chadema kinataka kukua basi Mbowe aachie ngazi! Huyu jamaa hana lolote kabisa,awaachie akina mnyika na wengine waongoze chama,ni mtupu ajabu
unajua mbowe ametoka wapi na chama eroo mbona unaropoka?
Mkuu, Mudi Mtoi, ni kweli mimi ni kipenzi cha EL, ndio maana nikampendekeza asimamishwe kama mgombea wa CCM ili atumike kama "pace maker" ili litimie lile neno "rais wa 2015" lazima atoke Kaskazini!".
Pia ni kweli naiabudu sana CCM ndio maana nikaisifu kwa kusema, CCM Imechokwa na mimi ndie mtu wa mwanzo huku kumsifu Mwenyekiti wa CCM kwa kumuita JK ni Kiongozi Dhaifu!, ndio maana ninawaabudia hata kina Chenge, Sitta na kina Mwigulu, huku nikiishutumu Chadema kila kukicha!.
Pasco.
Masaburi wewe!!!ungekuwepo kweli kwa wale makamanda tungeshakuchomoa na haki ya nani tungekutafuna kiungo kimoja kimoja mpaka uishe,nyang'au kabisa!!!!uongo wenu utawaua..
unaonaje mkuu kama utatumia kichwa kufikiri badala kufugia nywele ili upunguze matusi matusi jukwaani