Viongozi wa Dini Kilimanjaro wakanusha kumpokea kiongozi yeyote wa kisiasa Machi 19, 2022

Sisi viongozi wa Dini wa Mkoa wa Kilimanjaro tumeshangazwa na ujumbe unaosambazwa mitandaoni kwamba tutahusika na mapokezi ya Kiongozi wa Kisiasa .

Tunatambua kwamba ujumbe huo ni wa Wanasiasa na wala haujatoka kwetu sisi viongozi wa Dini. Sisi kama viongozi wenu wa Dini tunaendelea kujikita kwenye masuala ya Kiroho na kuliombea Taifa letu pasipo kujihusisha na Siasa na mapokezi ya Kisiasa.

Tunaomba Wananchi na waumini wote wapuuzie uhamasishaji huo unaolenga kutumia jina la Viongozi wa Dini kwa matakwa binafsi ya Kisiasa. Mwenyezi Mungu aibariki nchi yetu na kutujalia Neema zake.

Imetolewa na Umoja wa Viongozi wa Dini Mkoa wa Kilimanjaro.
18/03/2022.
Kumbe "mlihamasishwa" tu?

Sasa shida yako ni nini? Maana kuhamasishwa ni kitu kimoja. Kwenda au kutokwenda ni kitu kingine kabisa. Inabaki kubwa ni utashi wako. Sasa ishu ya kujipashika nafsi ya "sisi viongozi wa dini" inatoka wapi tena?

Mimi nadhani wewe una tatizo la political insecurity kiasi cha kuamua kujivika gauni la "ukiongozi wa dini" ili u - express insecurity yako unanimously

Huo ni UJINGA na UPUMBAVU kaka/dada yangu!!

Acha hizo. Jiamini na tenda wema na haki utafurahia maisha. Be yourself!!
 
VIONGOZI WA DINI KWA UMOJA WAO NDIO WALIOMBA KESI YA MBOWE ISITISHWE, HIVYO WAKIENDA KUMPOKEA PIA SIO TATIZO.
UKIONDOA SIASA KUMBUKA PIA MBOWE NI BINADAMU ANA FAMILIA NA NI MTANZANIA MWENZETU NA ANA MARAFIKI PIA WAKIWEMO HAO VIONGOZI WA DINI.
PIA KIONGOZI WA DINI ANA HAKI YA KUMPOKEA MBOWE KWASABABU PIA NAE NI KIONGOZI WA HAO HAO WAUMINI WA HAO VIONGOZI WA DINI.
 
Sisi viongozi wa Dini wa Mkoa wa Kilimanjaro tumeshangazwa na ujumbe unaosambazwa mitandaoni kwamba tutahusika na mapokezi ya Kiongozi wa Kisiasa .

Tunatambua kwamba ujumbe huo ni wa Wanasiasa na wala haujatoka kwetu sisi viongozi wa Dini. Sisi kama viongozi wenu wa Dini tunaendelea kujikita kwenye masuala ya Kiroho na kuliombea Taifa letu pasipo kujihusisha na Siasa na mapokezi ya Kisiasa.

Tunaomba Wananchi na waumini wote wapuuzie uhamasishaji huo unaolenga kutumia jina la Viongozi wa Dini kwa matakwa binafsi ya Kisiasa. Mwenyezi Mungu aibariki nchi yetu na kutujalia Neema zake.

Imetolewa na Umoja wa Viongozi wa Dini Mkoa wa Kilimanjaro.
18/03/2022.
Kamfufueni Yule muuaji mliyekuwa mnampa mice Mimbarani
 
Sisi viongozi wa Dini wa Mkoa wa Kilimanjaro tumeshangazwa na ujumbe unaosambazwa mitandaoni kwamba tutahusika na mapokezi ya Kiongozi wa Kisiasa .

Tunatambua kwamba ujumbe huo ni wa Wanasiasa na wala haujatoka kwetu sisi viongozi wa Dini. Sisi kama viongozi wenu wa Dini tunaendelea kujikita kwenye masuala ya Kiroho na kuliombea Taifa letu pasipo kujihusisha na Siasa na mapokezi ya Kisiasa.

Tunaomba Wananchi na waumini wote wapuuzie uhamasishaji huo unaolenga kutumia jina la Viongozi wa Dini kwa matakwa binafsi ya Kisiasa. Mwenyezi Mungu aibariki nchi yetu na kutujalia Neema zake.

Imetolewa na Umoja wa Viongozi wa Dini Mkoa wa Kilimanjaro.
18/03/2022.
Mwenyekiti wa Umoja wenu ni nani?
 
Tupe ushahidi kama kweli wewe ni kiongozi wao.

Kumbuka wanasiasa wote ni waumini wa dini tofauti hivyo kumpokea mwenzao siyo kosa
Wamesahau kuwa walikuwa wanampa muuaji mice Mimbarani Hadi MUNGU alipofanya mapinduzi....
 
Sisi viongozi wa Dini wa Mkoa wa Kilimanjaro tumeshangazwa na ujumbe unaosambazwa mitandaoni kwamba tutahusika na mapokezi ya Kiongozi wa Kisiasa .

Tunatambua kwamba ujumbe huo ni wa Wanasiasa na wala haujatoka kwetu sisi viongozi wa Dini. Sisi kama viongozi wenu wa Dini tunaendelea kujikita kwenye masuala ya Kiroho na kuliombea Taifa letu pasipo kujihusisha na Siasa na mapokezi ya Kisiasa.

Tunaomba Wananchi na waumini wote wapuuzie uhamasishaji huo unaolenga kutumia jina la Viongozi wa Dini kwa matakwa binafsi ya Kisiasa. Mwenyezi Mungu aibariki nchi yetu na kutujalia Neema zake.

Imetolewa na Umoja wa Viongozi wa Dini Mkoa wa Kilimanjaro.
18/03/2022.
Jinga kubwa wewe,
Hao hao viongozi ndo walienda ikulu na kuteta na mwanasiasa kuhusu siasa za nchi yetu.
Una kichwa ila hakina kitu ndani
 
Sisi viongozi wa Dini wa Mkoa wa Kilimanjaro tumeshangazwa na ujumbe unaosambazwa mitandaoni kwamba tutahusika na mapokezi ya Kiongozi wa Kisiasa .

Tunatambua kwamba ujumbe huo ni wa Wanasiasa na wala haujatoka kwetu sisi viongozi wa Dini. Sisi kama viongozi wenu wa Dini tunaendelea kujikita kwenye masuala ya Kiroho na kuliombea Taifa letu pasipo kujihusisha na Siasa na mapokezi ya Kisiasa.

Tunaomba Wananchi na waumini wote wapuuzie uhamasishaji huo unaolenga kutumia jina la Viongozi wa Dini kwa matakwa binafsi ya Kisiasa. Mwenyezi Mungu aibariki nchi yetu na kutujalia Neema zake.

Imetolewa na Umoja wa Viongozi wa Dini Mkoa wa Kilimanjaro.
18/03/2022.
Hapo hakuna viongozi wa dini,hao Ni watoza ushuru wanaojifanta Ni viongozi wa dini.
 
Back
Top Bottom