Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Viongozi wa dini mpaka sasa ishu ya Lissu vs Serikali mmeikalia kimya huku kila upande ukijihisi una haki.
Mpaka Sasa Lissu ni mshindi kwasababu hana kosa lililompasa kuuwawa katika mazingira Yale. Na Wala hana kosa lolote lililomstahili kifo.
Binafsi sijamsikia igp siro akisema lolote ila Kama serikali inataka kumkamata lisu akija nchini basi iseme wazi kosa lake ni lipi na kama kosa wanalomkamatia ndio Hilo lilimstahili kifo maana mpaka sasa ishu ya lisu sio ya kitaifa ni ya dunia nzima.
Lolote lisu atakalofanyiwa litaandikwa katika historia ya Tanzania.
Kifupi serikali ya awamu ya tano imejitengenezea zimwi lake liitwalo Tundu Lissu .
Viongozi wa dini kama mpo Tanzania liangalieni suala la Lissu unbiased.
Mpaka Sasa Lissu ni mshindi kwasababu hana kosa lililompasa kuuwawa katika mazingira Yale. Na Wala hana kosa lolote lililomstahili kifo.
Binafsi sijamsikia igp siro akisema lolote ila Kama serikali inataka kumkamata lisu akija nchini basi iseme wazi kosa lake ni lipi na kama kosa wanalomkamatia ndio Hilo lilimstahili kifo maana mpaka sasa ishu ya lisu sio ya kitaifa ni ya dunia nzima.
Lolote lisu atakalofanyiwa litaandikwa katika historia ya Tanzania.
Kifupi serikali ya awamu ya tano imejitengenezea zimwi lake liitwalo Tundu Lissu .
Viongozi wa dini kama mpo Tanzania liangalieni suala la Lissu unbiased.