mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
We mzee unawashwa.
Anawashwa how? wakati mwingine tuchambue ukweli,sasa ulitegemea pamoja na kukiukwa/kutotimizwa kwa masharti ya kuwekewa dhamana watolewe tu? Wanaogopwa ama? mbona hatumwangalii huyo katibu kwa upuuzi aliofanya kupelekea haya?