Viongozi na Wanachama wa CHADEMA Mkoa wa Mbeya wakodi basi la abiria ili kumuona Freeman Mbowe gereza la Ukonga

Kwetu ni Mara. I know what i'm talking as.shole
Hata mimi pia mzazi wangu mmoja ni wa Mara.... So Naijua vizuri sana Kuanzia Mugumu mpaka visiwani huko Nansio we have the numbers!!! Ndio mkoa uliotoa wabunge wengi wa upinzani kanda ya ziwa since 2015 then unadai eti wakurya tu??? Are you serious?
 
Mama yako anadhani alizaa mtoto, bahati mbaya umegeuka msukule wa mbowe

Hawa wamama mnawataja huku kwa kukosa adabu wanahusikaje? Hivi mnajua wakati hamjiwezi kabisa; hawa wamama waliwalea? Wangeweza hata toa mimba zenu au kuwauwa, waheshimuni hawa kina Mama for once!
 
Hao watu Wana sehemu yao mbinguni kwa safari ndefu kuka DAR kumuona mwamba wa siasa za upinzani.
Kila la heri.
 
Leo Jumamosi 11/9/2021 lundo la viongozi na Wanachama wa Chadema kutoka Mkoani Mbeya wamefika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa basi kubwa la abiria (Jina linahifadhiwa kwa sababu za kiusalama) , ili kumjulia hali kiongozi wao wa Kitaifa Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anashikiliwa kwa Tuhuma za Ugaidi .

View attachment 1933571

Nachukua nafasi hii kuwashukuru wanachama na viongozi hao kwa wema wao huo , Tunaamini kwamba Mwenyezi Mungu atawarudishia pale palipopungua kutokana na gharama za safari hiyo .

Mungu ibariki Chadema
Basi kubwa!!!

Sisi tunaona ni aina ya Coaster
 
Leo Jumamosi 11/9/2021 lundo la viongozi na Wanachama wa Chadema kutoka Mkoani Mbeya wamefika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa basi kubwa la abiria (Jina linahifadhiwa kwa sababu za kiusalama) , ili kumjulia hali kiongozi wao wa Kitaifa Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anashikiliwa kwa Tuhuma za Ugaidi .

View attachment 1933571

Nachukua nafasi hii kuwashukuru wanachama na viongozi hao kwa wema wao huo , Tunaamini kwamba Mwenyezi Mungu atawarudishia pale palipopungua kutokana na gharama za safari hiyo .

Mungu ibariki Chadema
Wameenda gerezani kumtembelea mshutumiwa wa ugaidi. Ngoja ahukumiwe ndio watajua wamemtembelea gaidi🤔🤔
 
Leo Jumamosi 11/9/2021 lundo la viongozi na Wanachama wa Chadema kutoka Mkoani Mbeya wamefika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa basi kubwa la abiria (Jina linahifadhiwa kwa sababu za kiusalama) , ili kumjulia hali kiongozi wao wa Kitaifa Mwamba mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anashikiliwa kwa Tuhuma za Ugaidi .

View attachment 1933571

Nachukua nafasi hii kuwashukuru wanachama na viongozi hao kwa wema wao huo , Tunaamini kwamba Mwenyezi Mungu atawarudishia pale palipopungua kutokana na gharama za safari hiyo .

Mungu ibariki Chadema
Eti hilo ndio basi kubwa. Naona wanaenda kwenye kitu fulani sio kumtembelea mtu.
 
Back
Top Bottom