7 - 1 ni matokeo tu, picha inaeleza kila kitu.
Tahadhari kwa wana JF wote, huyu aliepost bandiko hili ndio wale VIRUS tunaowascan, hizi picha sio za show ya jana ya clouds, jana Fally Ipupa alikuwa na show Washington DC Marekani.shoo ya clouds ilifunika we acha ..
Asante mkuu.........Tahadhari kwa wana JF wote, huyu aliepost bandiko hili ndio wale VIRUS tunaowascan, hizi picha sio za show ya jana ya clouds, jana Fally Ipupa alikuwa na show Washington DC Marekani.
wasengge kama hawa ni wa kupuuzwa, hakuna mtu yeyote ambaye yuko Dar ambaye hajui aibu waliopata kwa mara ya kwanza Redio ya wafu pale Leaders club, na hata huyo mla unga DMX amewatosa hakuja kwenye show ya kishamba.
Kwakweli tamasha lilipooza sana.
.......Wanafki wakubwa nyinyi, unayakumbuka uliyokuwa unayaandika jana?Kwakweli tamasha lilipooza sana.