Mibikimitali
Member
- Mar 12, 2010
- 36
- 15
Nadhani hii itakuwa ni mara ya mwisho kwa Mkapa kushiriki kwenye siasa.
Nimefurahi kusema ukweli, ingawaje sikubaliani na assertion ya Vincent, lakini thanks God finally huyu Mkapa aliyefanya biashara ikulu anakuwa exposed.
Huyu mtu anapata moral authority ya kufanya kampeni?
Matatizo mengi tuliyonayo sasa yametokana na ufisadi wa utawala wake.
And by the way, anaweza kukataa kwenye hili, lakini jee nani alimuua Kombe yule wa usalama wa taifa?
Nimefurahi kusema ukweli, ingawaje sikubaliani na assertion ya Vincent, lakini thanks God finally huyu Mkapa aliyefanya biashara ikulu anakuwa exposed.
Huyu mtu anapata moral authority ya kufanya kampeni?
Matatizo mengi tuliyonayo sasa yametokana na ufisadi wa utawala wake.
And by the way, anaweza kukataa kwenye hili, lakini jee nani alimuua Kombe yule wa usalama wa taifa?