Vincent Laswai wa Kibo Palace na Trust Bureau de changes yuko matatani?

Vincent Laswai wa Kibo Palace na Trust Bureau de changes yuko matatani?

1551391047503.jpeg
 
Tunasubiri jibu.

Kuna tajiri au mwanasiasa anashinda bila ujanjaujanja??

Tupe data za Pombe alivyoshinda uchaguzi, jinsi tulivyonunua ndege zote kama siyo ujanjaujanja.
 
tumeangalia upande mmoja wa shilingi...mara nyingi hawa matajiri wakubwa hasa waliojitokeza awamu zilizopita walitajirika kiu-kanjanja....
Sasa kama tayari wameshakuwa matajiri, ulitarajia utajiri wao ungeanzia awamu zipi kama sio zilizopita?! Au ulitaka wawe wale wa wenzi za Ukoloni?! Au ulitaka wawe wale wa enzi za Nyerere ambazo kuwa mfanyabiashara ilionekana ni haramu na ubepari?!
 
Lissu akiwa marekani alisema kwa Tanzania sasa hv kuna mtindo unaendelea wa kuwanyang'anya wafanyabiashara Mali zao, wanashurutishwa watoe hela, wasipotoa wanapewa Kesi Ya uhujumu uchumi..

Kwa mujibu wa Tundu lissu, je na hili litakuwa Ni mojawapo???

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umenyang'anywa nini?
 
Msiba ulikuwa wapi? Ana dereva wake mmoja mnene, jamaa yeye mwembamba tu, basi wakisimama mahali, watu wanamfuata dereva wakidhani yeye ndo bosi kisa unene!😀

Ila ni kweli hii zamu ya wachagga kuishi kama mashetani!

Yeah Jamaa ni mwembamba hiyo suti ndio inamfanya anaonekana kama ana mwili hivi, Msiba ulikua Rombo Tarakea. Ila Jamaa alianzaga biashara zamani sana Tangu nipo shule ya msingi miaka hiyo ya 90 Jamaa alikua kwenye reli tayari,

Kawabeba watu wengi sana Kibiashara na wametajirika kupitia yeye.
 
Yeah Jamaa ni mwembamba hiyo suti ndio inamfanya anaonekana kama ana mwili hivi, Msiba ulikua Rombo Tarakea. Ila Jamaa alianzaga biashara zamani sana Tangu nipo shule ya msingi miaka hiyo ya 90 Jamaa alikua kwenye reli tayari,

Kawabeba watu wengi sana Kibiashara na wametajirika kupitia yeye.
Very true!
 
Back
Top Bottom