BREAKING: Senegal’s government demands “independent international investigation into suspected corruption within CAF’s governing bodies.”
The West African nation calls CAF’s decision to award the AFCON title to Morocco “grossly illegal and profoundly unjust,” promising to challenge it in international courts
Kwa upande wa clubs timu za afrika magalibi hazina athari kwenye caf ila kukiwa na umoja kwenxe mgomo wa timu za taifa asa afrika magalibi na kati asee caf itadoda
Hakuna kipindi ambacho kumekuwa na rushwa za waziwazi kama kipindi cha sasa kwa CAF na hasa rushwa ya waamuzi ni wakati wa kumwondoa Motsepe pamoja na mafanikio makubwa aiyoleta upande wa wadhamin.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.