Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
nimeona kwenye mapitio ya magazeti jambo leo linadai BWM litavunjwa kesho. kama ni kweli mkutano wa Jmosi utapitwa na wakati.
Hata kama litavunjwa kesho bado ni matokeo ya shinikizo la umma.
Ni mafanikio.