Vikao vya NEC na Baraza Kuu CDM kujadili hali tete ya nchi!

Molemo

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
14,534
13,225
Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM kimeitisha kikao cha dharura cha Baraza kuu la Taifa kutoa maamuzi mazito kuhusiana na kitendo cha serikali kushindwa kuwawajibisha na kuwachukulia hatua za kisheria mawaziri wazembe na waliofisidi wizara zao.
Kikao hicho kitafanyika jumamosi wiki hii na kinatarajiwa kutoa maamuzi mazito sana yatakayotikisa nchi na watawala.

Source:Mwananchi na John Mnyika.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM kimeitisha kikao cha dharura cha Baraza kuu la Taifa kutoa maamuzi mazito kuhusiana na kitendo cha serikali kushindwa kuwawajibisha na kuwachukulia hatua za kisheria mawaziri wazembe na waliofisidi wizara zao. Kikao hicho kitafanyika jumamosi wiki hii na kinatarajiwa kutoa maamuzi mazito sana yatakayotikisa nchi na watawala. Source:Mwananchi na John Mnyika.

nimeona kwenye mapitio ya magazeti jambo leo linadai BWM litavunjwa kesho. kama ni kweli mkutano wa Jmosi utapitwa na wakati.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM kimeitisha kikao cha dharura cha Baraza kuu la Taifa kutoa maamuzi mazito kuhusiana na kitendo cha serikali kushindwa kuwawajibisha na kuwachukulia hatua za kisheria mawaziri wazembe na waliofisidi wizara zao.
Kikao hicho kitafanyika jumamosi wiki hii na kinatarajiwa kutoa maamuzi mazito sana yatakayotikisa nchi na watawala.

Source:Mwananchi na John Mnyika.
Chadema tangazeni maamuzi magumu, wananchi tupo tayari kuwa-back up. Ni lazima nguvu ya umma iheshimike.
 
Ni Upepo tu. Utapita. Acha hata Mawaziri wauane hata akibaki mmoja hapo ndo upepo utakuwa ushapita.
 
Back
Top Bottom