Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM kimeitisha kikao cha dharura cha Baraza kuu la Taifa kutoa maamuzi mazito kuhusiana na kitendo cha serikali kushindwa kuwawajibisha na kuwachukulia hatua za kisheria mawaziri wazembe na waliofisidi wizara zao.
Kikao hicho kitafanyika jumamosi wiki hii na kinatarajiwa kutoa maamuzi mazito sana yatakayotikisa nchi na watawala.
Source:Mwananchi na John Mnyika.
Kikao hicho kitafanyika jumamosi wiki hii na kinatarajiwa kutoa maamuzi mazito sana yatakayotikisa nchi na watawala.
Source:Mwananchi na John Mnyika.