Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,465
- 92,852
Mimi nadhani tatizo siyo kuvunja Baraza bali hao Mawaziri wapya atawapata wapi miongoni mwa hawa wabunge wa CCM? Mwigulu na Lusinde?....
Kama unaipenda mbona unatetea ufisadi?Naipenda nchi yangu Tanzania.
Na unakipenda chama chako cha magamba, usisahau tafadhali.Naipenda nchi yangu Tanzania.
Naipenda nchi yangu Tanzania.
We shall overcome
Naipenda nchi yangu Tanzania.
Ni kuingia barabarani tu.
Siasa kweli mchezo mchafu. Jamani si CDM wakiongozwa na Zitto wako kwenye mchakato wa kisiasa na kikatiba wa kutaka kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri MKuu sasa tena Baraza kuu linataka nini? Mchakato wa Zitto haujafika tamati leo mnaibuka na lingine? Au hoja ya Zitto inaonekana kumpa umaarufu Zitto badala ya CDM?
Monoama mbonyi nsafo
Siasa kweli mchezo mchafu. Jamani si CDM wakiongozwa na Zitto wako kwenye mchakato wa kisiasa na kikatiba wa kutaka kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri MKuu sasa tena Baraza kuu linataka nini? Mchakato wa Zitto haujafika tamati leo mnaibuka na lingine? Au hoja ya Zitto inaonekana kumpa umaarufu Zitto badala ya CDM?
Mkuu Molemo hapo unafiki na chuki viko wapi? Mchakato wa kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu umefikia wapi si bado unaendelea na uko sponsored na Zitto Zuberi Kabwe naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni. Kwa nini tusisubiri tuone outcome ya mchakato japo tu jibu toka kwa Spika?Mkuu unafiki wako na chuki yako kwa CDM imevuka mipaka sasa.
Mkuu Molemo hapo unafiki na chuki viko wapi? Mchakato wa kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu umefikia wapi si bado unaendelea na uko sponsored na Zitto Zuberi Kabwe naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni. Kwa nini tusisubiri tuone outcome ya mchakato japo tu jibu toka kwa Spika?