Changalucha
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 505
- 582
OMG, Mie nilijua wanawaongoza watalii (tour guide), Kumbe wanabeba jumlajumla!Hali ni mbaya mno Arusha mjini.
Ifike mahala sasa hawa vijana wetu tuwakumbushe kuna option B ya Maisha .
Wamekosa uwoga kabisa , kijana wa Rika la 20's unamkuta mnara wa saa pale au maeneo ya shoppers anakomkongoja Ajuza wake wa 70s bila haya usoni.
Hali ni mbaya.