victormztz
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 1,111
- 613
Hizo ni bangi tu,we kijana rijali kweli unaendaje kuhangaika na hivyo vikongwe?,yani hata huo mzuka unapataje kwanza?aisee mna moyo sana vijana wa mkoani.Wale wazee wanakuja kutafuta Ze dudu hapa Tanzania (Afrika) haswa mikoani kwani wanajuwa kwa Dar watapata makatuni ya bongo fleva wasukao nywele na kuvaa hereni huku wakipaka lipstick na kuvaa suruali zibanazo mapumbu.