mama hepache
Senior Member
- Dec 22, 2018
- 132
- 119
Hah haa ! Wanapenda maisha ya Bei Chee!Hali ni mbaya mno Arusha mjini.
Ifike mahala sasa hawa vijana wetu tuwakumbushe kuna option B ya Maisha .
Wamekosa uwoga kabisa , kijana wa Rika la 20's unamkuta mnara wa saa pale au maeneo ya shoppers anakomkongoja Ajuza wake wa 70s bila haya usoni.
Hali ni mbaya.
Sent using Jamii Forums mobile app