Vijana wanaposhawishika kwa viungo vya maumbile tofauti na vijana wa enzi za kuwa uchi

kwani kipindi hiko hakukuwepo na polisi?Nina uhakika kesi za kubaka zilikua nyingi sana

Unataka kuniambia polisi ni makini zaidi kuliko sungusungu? Walinzi wa jadi waliogopwa kuliko polisi wanaokula milungula. Enzi hizo adhabu ya kosa ni papo kwa papo ndio maana watu walishika adabu.
 
lakini genye ina nguvu sana kushinda hata polisi

Vibaka wanachokiogopa kushikwa na wanaojichukulia sheria mkononi mitaani, hawaogopi polisi. Mrema kipindi chake cha uwaziri mambo ya ndani aliamua kuimarisha pia ulinzi wa jadi ambao ulisaidia sana kujenga mazingira ya amani.
 
Nataman ningekuwepo enzi zile

Ila cha kukumbuka wakati huo wasichana walikuwa wanachumbiwa wangali wadogo, mfano wanaoonekana pichani huenda wazaziw ao walishachukua mahali za awali, hata hivyo hawakuingiliwa na wachumba zao hadi taratibu za ndoa za asili zinapokuwa zimefanyika.
 
wenye kandambili kama mm wallah enzi hizo zisijirudie,chuchu zinasimama wakati wa kupiga deki mweh

Ngoja waje wenyewe wenye kandambili zinazosimama wakati wa kupiga deki wakubwatukie utatafuta pa kutokea, utaona milango yote imepotea hakuna pa kukimbilia.
 
Ngoja waje wenyewe wenye kandambili zinazosimama wakati wa kupiga deki wakubwatukie utatafuta pa kutokea, utaona milango yote imepotea hakuna pa kukimbilia.

ataanzia wapi wakati haya ndo maumbile yangu,ana uthibitisho mpaka anibwatukie mkuu?
 
Back
Top Bottom