Vijana wa kitambo chetu

Bwashee, kwenye miaka ya 20 nilikua na maisha ya ndoani , nilifunga ndoa ni binti mmoja mrembo , niliishi kama vijana wengi wanavyotamani humu , ila mwisho wa siku tulizinguana vibaya mno , na ikawa chachu ya mimi kufikiri tofauti kuhusu maisha na ndoto zangu, kiufupi bado kuna level ya pesa nataka nifike🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…