we unaweka nini mle?
hahaha mimi sibebagi
we unaweka nini mle?
Sijui wanaweka nini humo ndani, maana ni kama fashion kwa sasa.
Juzi wakati nipo Taifa kuna kijana nilikaa nae jirani wakati anafungua nikachungulia, Ajabu katoa headphone ya simu na hamkuemo na kitu kingine cha ziada ndani nilichoka sana.
Binafsi naona kama ni ushamba fulani hivi ambao vijana wanalimbukia bila kujielewa.
Acheni ushamba hilo beg ni personal package ,unaweza weka ipad,gadgets yoyote ile ,vitabu hata condom because its safe
Mwanzon nilifikiri wanaweka pedi za dharura kumbe sio
Ole wako huko uswahilini uishi jirani na mleta hii mada, anaonekana ye kila siku kuwaangalia watu wamevaa nini au wamebeba nini kwenye mifuko yao. Mkisikiaga watu wachawi sio kwamba wanaruka na ungo usiku, zile ni stori tu, wachawi ndo watu kama huyu, kutwa kukodolea macho watoto wa majirani na kuwasengenya.
Hao ni wezi wa vifaa vya magari.