Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

You are know everybody at Dar es Salaam is pretend is big boss and is have laptop. I am not know why. Every bigman is have laptop. how can people know you have hidden laptop ? It simply carry a bag. wear nice cloth. be smart and you pass as respectful person. You are not carry bag they know you are daladala conductor or you not have many money. Simple trick it use.
Una maanisha nini mkuu?
 
Sijui wanaweka nini humo ndani, maana ni kama fashion kwa sasa.
Juzi wakati nipo Taifa kuna kijana nilikaa nae jirani wakati anafungua nikachungulia, Ajabu katoa headphone ya simu na hamkuemo na kitu kingine cha ziada ndani nilichoka sana.

Binafsi naona kama ni ushamba fulani hivi ambao vijana wanalimbukia bila kujielewa.


Me nabebaga Laptop kila cku
na mie mshamba?
 
Ole wako huko uswahilini uishi jirani na mleta hii mada, anaonekana ye kila siku kuwaangalia watu wamevaa nini au wamebeba nini kwenye mifuko yao. Mkisikiaga watu wachawi sio kwamba wanaruka na ungo usiku, zile ni stori tu, wachawi ndo watu kama huyu, kutwa kukodolea macho watoto wa majirani na kuwasengenya.
 
Sijui wanaweka nini humo ndani, maana ni kama fashion kwa sasa.
Juzi wakati nipo Taifa kuna kijana nilikaa nae jirani wakati anafungua nikachungulia, Ajabu katoa headphone ya simu na hamkuemo na kitu kingine cha ziada ndani nilichoka sana.

Binafsi naona kama ni ushamba fulani hivi ambao vijana wanalimbukia bila kujielewa.

Wewe inakuhusu nini? Ndio ulimbukeni wenyewe huo.
 
You are know everybody at Dar es Salaam is pretend is big boss and is have laptop. I am not know why. Every bigman is have laptop. how can people know you have hidden laptop ? It simply carry a bag. wear nice cloth. be smart and you pass as respectful person. You are not carry bag they know you are daladala conductor or you not have many money. Simple trick it use.

Lugha ya watu baba mama queen Elizabeth pita mitaa ya huku JF uone wajukuu zako
 
hahahaa k/koo ndio mamejaa tele na vibegi...ila na ww mmbea ulichungulia nn begi la mwenzako
 
Wengi wao wanakuwa wanabeba KUSH wengine poa ni Swagga ,,,teh teh teh ujana Maji ya moto mkuu!!


Sent from my iPad Air using JamiiForums
 
Wengine wanadanganya makwao wanaenda tuition au kujisomea.
 
Watanzania bwana, mh haya we chukulia ni ushamba wenzio tunapiga hela kupitia ofice zetu hizo za vibegi mgongoni!
 
You are know everybody at Dar es Salaam is pretend is big boss and is have laptop. I am not know why. Every bigman is have laptop. how can people know you have hidden laptop ? It simply carry a bag. wear nice cloth. be smart and you pass as respectful person. You are not carry bag they know you are daladala conductor or you not have many money. Simple trick it use.

khaaaaaaaah!!
 
Mbona dunia zingine hivyo ni vitu vya kawaida kabisa nimekaa Belgium, Holland, Paris nikawaida kumwona mwanaume ma kibeg mgongoni
 
Back
Top Bottom