Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Hii kitu imeshaanza kuwa addiction kwa vijana wengi
 
mkuu CYBERTEQ asante kwa ile post yako.umeainishia vizuri sana.umenikumbusha wakati flani in late 90s moja ya fashion iliyo kuwa ina trend kwa vijana wa wakati huo ni kubeba diary mkononi.miaka ile nilikuwa bado secondary school,kila nikifik.a town mitaa ya mnazi mmoja-posta mpya, nilikuwa naona watu wakaka/wababa watanashati na vi-diary vyao mkononi.cha ajabu,pamoja na kwamba siku hizi tuna smart devices za kuhifadhi kumbukumbu,bado watu wa kizazi kile wanaendeleza ile culture yao,hivi ninavyo post hii,pembeni kuna mjomba nyoa yake na vaa yake ni kama wa hayati madilu system(kipapaa),kashika diary ya mwaka 2012 yenye ukubwa wa karatasi ya A4.sijuhi anahifadhi nini mle ndani.lol
 
Last edited by a moderator:
kwa mm huwa nabeba begi mgongoni (ila mda wa kwenda kazini na kurudi au nikienda field mikoani). kwenye begi hilo huwa kuna laptop, charge yake, external driver, flash disk, modem, diary,reading material na important document kufanyia kazi ukiwa home, N.K
 
Sijui wanaweka nini humo ndani, maana ni kama fashion kwa sasa.
Juzi wakati nipo Taifa kuna kijana nilikaa nae jirani wakati anafungua nikachungulia, Ajabu katoa headphone ya simu na hamkuemo na kitu kingine cha ziada ndani nilichoka sana.

Binafsi naona kama ni ushamba fulani hivi ambao vijana wanalimbukia bila kujielewa.

Binafsi huwa nabebea vyeti na docs muhimu badala ya kutembea na bahasha ambyo kimsingi haichelew kuchakaa na kuharibika. Mabag yanasave kutegemeana na matumiz ya mtu
 
mkuu CYBERTEQ asante kwa ile post yako.umeainishia vizuri sana.umenikumbusha wakati flani in late 90s moja ya fashion iliyo kuwa ina trend kwa vijana wa wakati huo ni kubeba diary mkononi.miaka ile nilikuwa bado secondary school,kila nikifik.a town mitaa ya mnazi mmoja-posta mpya, nilikuwa naona watu wakaka/wababa watanashati na vi-diary vyao mkononi.cha ajabu,pamoja na kwamba siku hizi tuna smart devices za kuhifadhi kumbukumbu,bado watu wa kizazi kile wanaendeleza ile culture yao,hivi ninavyo post hii,pembeni kuna mjomba nyoa yake na vaa yake ni kama wa hayati madilu system(kipapaa),kashika diary ya mwaka 2012 yenye ukubwa wa karatasi ya A4.sijuhi anahifadhi nini mle ndani.lol

Hahahahaa, huyo kauwa!
 
Begi langu la mgongoni husaidia kuzuia wale waporaji wa pc na pia huwa nahifadhia stock yangu ya ganja, sio rahisi polisi kusachi begi lako akishaona kibegi tu! anajua we ni wakusoma so hana mpango na wewe idawa
Mkuu na wewe ni miongoni mwa wauza sembe hadi ufurahie kutosachiwa na polis.?

Kifupi inaonekana vibegi vya mgongoni vinaficha mengi sana tu.!!
 
Last edited by a moderator:
Begi mgongoni, na ramani kama mzungu, kabla hujafika hapa nilipo, nimeshafahamu MA NEXT MOVE- MWANA FA.
 
mkuu CYBERTEQ asante kwa ile post yako.umeainishia vizuri sana.umenikumbusha wakati flani in late 90s moja ya fashion iliyo kuwa ina trend kwa vijana wa wakati huo ni kubeba diary mkononi.miaka ile nilikuwa bado secondary school,kila nikifik.a town mitaa ya mnazi mmoja-posta mpya, nilikuwa naona watu wakaka/wababa watanashati na vi-diary vyao mkononi.cha ajabu,pamoja na kwamba siku hizi tuna smart devices za kuhifadhi kumbukumbu,bado watu wa kizazi kile wanaendeleza ile culture yao,hivi ninavyo post hii,pembeni kuna mjomba nyoa yake na vaa yake ni kama wa hayati madilu system(kipapaa),kashika diary ya mwaka 2012 yenye ukubwa wa karatasi ya A4.sijuhi anahifadhi nini mle ndani.lol

Huyo jamaa mwenye diary ya 2012 atakua tapeli tu.!
Ndio nasema hivyo vibegi vinamamabo mengi tofauti na watu wanavyofikiri.!!!!:ranger:
 
Last edited by a moderator:
Mi sehemu nayofanyia kibarua nilikuwa naonekana tozi kwa kubeba begi cha ajabu yule mzee alokuwa akiniita tozi nae siku hizi anabeba begi nadhani alielewa umuhimu wa lasket

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
hahhaha jf ni zaidi ya burudani daaaa comment za huu uzi zimeniacha hoi sana.
Kuna raha sana kusoma comments za wachangiaji
 
Me begi langu ndo ofisi yangu, humo kuna dayari kwa ajili ya kumbu kumbu, kalamu, na bidhaa kama power bank, External Hard Disc, Memory Cards, Earphones n.k hapo nasaka mteja au napeleka oda kokote dar.
Ukitaka kuamini nicheki 0777883861 alafu niagize chochote kati ya hivyo uone nakuletea kokote ulipo na begi langu ambalo zamani nilikua nimejaza vyeti na cv baada ya kupata bachelor. Ila now days nimejiajiri kwa namna hii
 
Binafsi huwa nabebea vyeti na docs muhimu badala ya kutembea na bahasha ambyo kimsingi haichelew kuchakaa na kuharibika. Mabag yanasave kutegemeana na matumiz ya mtu

unabeba vyeti mgongoni, dah utatuua mbavu kwa vicheko mkuu!!
 
Kama mimi ni fundi na nimejiajili hivyo. Siwezi kutembea bila beg coz nina mavitu kibao achana kabisa na laptop tolls database kebo na vingingine vingi cd wallet some time ukibeba mgongoni inakua rahisi ila ukibeba mkononi unaweza uka base upandw mmoja
 
kwa mm huwa nabeba begi mgongoni (ila mda wa kwenda kazini na kurudi au nikienda field mikoani). kwenye begi hilo huwa kuna laptop, charge yake, external driver, flash disk, modem, diary,reading material na important document kufanyia kazi ukiwa home, N.K

anza kubeba kichwani sasa weka begi pembeni
 
Me begi langu ndo ofisi yangu, humo kuna dayari kwa ajili ya kumbu kumbu, kalamu, na bidhaa kama power bank, External Hard Disc, Memory Cards, Earphones n.k hapo nasaka mteja au napeleka oda kokote dar.
Ukitaka kuamini nicheki 0777883861 alafu niagize chochote kati ya hivyo uone nakuletea kokote ulipo na begi langu ambalo zamani nilikua nimejaza vyeti na cv baada ya kupata bachelor. Ila now days nimejiajiri kwa namna hii

hongera sana kaka.hii kama sijakosea inaitwa "digital style entrepreneurship".
 
Ahaa vibegii ni swagga tuu ...ila begi za laptop zinajulikana ila wenginmee looooooh begii limeshonaa c utadhanio fundi umeme


A
 
Back
Top Bottom