Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Sijui wanaweka nini humo ndani, maana ni kama fashion kwa sasa.
Juzi wakati nipo Taifa kuna kijana nilikaa nae jirani wakati anafungua nikachungulia, Ajabu katoa headphone ya simu na hamkuemo na kitu kingine cha ziada ndani nilichoka sana.

Binafsi naona kama ni ushamba fulani hivi ambao vijana wanalimbukia bila kujielewa.
Sisi wenzenu tumetoka kwenye vibegi,tunao wa kutubebea.
👇
King of Bahrain arrives in Dubai with his Robot bodyguard.This is the 4th Industrial Revolution. The Robot can speak 6 languages. It can rescue him literally carry him from mobs. It can physically fight, chase and shoot. It's armed with an electric teaser, an undisclosed 360 degrees camera system Secondary to a set of infrared cameras, 3 hidden machine guns with enough ammunition to fight 1050 men and a laser guided sniper machine gun. It also carries medications and water. The guard costs US $7.4 million.
 

Attachments

  • VID-20241002-WA0000.mp4
    4.5 MB
Jamaa yangu mmoja alienda Ulaya akakaa kama miaka mitano bila kurudi Tz. Aliporudi likizo siku moja nikamuona amebeba m-backpack wake mkuuubwa na mzito (kama wale wanaobeba watalii) mgongoni huku amevaa pensi lake anakataa mitaa ya Samora huku anaangalia kwa kushangaa shangaa kama watalii wanavyofanya.
Kwamba Ulaya ndicho wanachofanya ? Ungesema anavaa Gloves, na Wholly Hat au scarf hii story yako ningeamini kidogo
 
Jaribu kusoma uelewe nilichoandika....
Ulichoandika kwamba kwenda kwake Ulaya na yeye ana act kama mtalii / watu wa ulaya; sasa kama issue ni ku act kama mtu wa ulaya si angefanya hivyo hata bila kwenda Ulaya sababu kule Ulaya hao wa huku hawafanyi wanachofanya wa kule..., mbili hao wanaofanya hicho huku ni convinience na kwenye hilo bag kuna kila essential ya kuweza kuwasaidia kwenye mizunguko yao na kama ndivyo huenda na rafiki yako alikuja sio kusalimia tu bali na kutalii na kuhusu pensi huenda alimiss jua na summer kwahio ana enjoy while he/she can.....; kwahio huenda anayeshangaa ndio wa kumshangaa
 
Sijui wanaweka nini humo ndani, maana ni kama fashion kwa sasa.
Juzi wakati nipo Taifa kuna kijana nilikaa nae jirani wakati anafungua nikachungulia, Ajabu katoa headphone ya simu na hamkuemo na kitu kingine cha ziada ndani nilichoka sana.

Binafsi naona kama ni ushamba fulani hivi ambao vijana wanalimbukia bila kujielewa.
dar es salaam ulitokea mtindo wa vibaka wanakuja na boda na kupora vibegi hasa vya computer, watu wakaona bora vya kubeba mgongoni inakuwa vigumu kuporwa; pia sio tanzania tu ambako wanadamu wanabeba vibegi, majuu hadi wazee. usishangae ndugu msukuma.
 
Ulichoandika kwamba kwenda kwake Ulaya na yeye ana act kama mtalii / watu wa ulaya; sasa kama issue ni ku act kama mtu wa ulaya si angefanya hivyo hata bila kwenda Ulaya sababu kule Ulaya hao wa huku hawafanyi wanachofanya wa kule..., mbili hao wanaofanya hicho huku ni convinience na kwenye hilo bag kuna kila essential ya kuweza kuwasaidia kwenye mizunguko yao na kama ndivyo huenda na rafiki yako alikuja sio kusalimia tu bali na kutalii na kuhusu pensi huenda alimiss jua na summer kwahio ana enjoy while he/she can.....; kwahio huenda anayeshangaa ndio wa kumshangaa
Haya yote uliyoandika ni hisia zako. Huyo jamaa nilikuwa naye nchi moja ya Ulaya, na nilikuwa najua mikogo yake. Alikuwa ni mtu wangu wa karibu kabisa na siyo kama nilichoandika nimebahatisha. Tulikuwa tunamwita mzungu wa kuchovya kwa jinsi alivyokuwa anapenda kuiga uzungu baada ya kukaa Ulaya. Hicho nilichoandika ni cha mtoto, ningeandika pigo zake zote ni kichekesho. Ndiyo maana nikakuambia soma kwa ufahamu nilichoandika. Nimeanza na ''jamaa yangu.....'' Au ni wewe nini, maana hapa hatutumii majina halisi.
 
Haya yote uliyoandika ni hisia zako. Hyo jamaa nilikuwa naye nchi moja ya Ulaya, na nilikuwa najua mikogo yake. Alikuwa ni mtu wangu wa karibu kabisa na siyo kama nilichoandika nimebahatisha. Tulikuwa tunamwita mzungu wa kuchovya kwa jinsi alivyokuwa napenda kuiga uzungu. Ndiyo maana nikakuambia soma kwa ufahamu nilichoandika. Nimeanza na ''jamaa yangu.....''
Alivyokuwa Ulaya alikuwa anaiga nini ? When in Rome live like Romans..., hata mimi nikiwa Ulaya mara nyingi kwa mavazi n.k. naiga watu wa huko sababu ndio convinient kwa maisha ya huko.....

Nikirudi kwenye Mada ya Mleta Uzi na Kumjibu na yeye ili nifanye mambo kwa jumla jumla
It's all about convenience mara nyingine sio appearance pekee na about fashion as well kuna kipindi watu walikuwa na briefcase (ambayo kwa sasa ukiwa nayo utaonekana kama mshamba (at that time it was more of a status symbol than convenient..; Laptop bag it was convenient kubebea laptop ila utaweka nini zaidi ya laptop ?

Safari bag (au niseme hivi vijibegi ambavyo unaweza kuweka mgongoni) ni convinient as maisha hususan ya mijini yamekuwa kama safari mtu anabangaiza siku kucha hachelewi kupiga kwenye mitumba akapata kasuruali, au bidhaa fulani ya kuokota (mtembea bure sio mkaa bure), huma kuna vijidude vyake kibao wengine unakuta kuna viatu ili akitoka kazini apige raba za kugombania usafiri na akifika kazini avae kiatu chake fit for kazi yake...

In short maisha ni mapambano na huenda begi hizo ni nyenzo ya vita....
 
Alivyokuwa Ulaya alikuwa anaiga nini ? When in Rome live like Romans..., hata mimi nikiwa Ulaya mara nyingi kwa mavazi n.k. naiga watu wa huko sababu ndio convinient kwa maisha ya huko.....

Nikirudi kwenye Mada ya Mleta Uzi na Kumjibu na yeye ili nifanye mambo kwa jumla jumla
It's all about convenience mara nyingine sio appearance pekee na about fashion as well kuna kipindi watu walikuwa na briefcase (ambayo kwa sasa ukiwa nayo utaonekana kama mshamba (at that time it was more of a status symbol than convenient..; Laptop bag it was convenient kubebea laptop ila utaweka nini zaidi ya laptop ?

Safari bag (au niseme hivi vijibegi ambavyo unaweza kuweka mgongoni) ni convinient as maisha hususan ya mijini yamekuwa kama safari mtu anabangaiza siku kucha hachelewi kupiga kwenye mitumba akapata kasuruali, au bidhaa fulani ya kuokota (mtembea bure sio mkaa bure), huma kuna vijidude vyake kibao wengine unakuta kuna viatu ili akitoka kazini apige raba za kugombania usafiri na akifika kazini avae kiatu chake fit for kazi yake...

In short maisha ni mapambano na huenda begi hizo ni nyenzo ya vita....
Umenikumbusha enzi ya briefcase!
 
Mjifunze to mind your own businesses, tabia ya hovyo sana kufuatilia mambo yasiyokuhusu
 
Alivyokuwa Ulaya alikuwa anaiga nini ? When in Rome live like Romans..., hata mimi nikiwa Ulaya mara nyingi kwa mavazi n.k. naiga watu wa huko sababu ndio convinient kwa maisha ya huko.....

Nikirudi kwenye Mada ya Mleta Uzi na Kumjibu na yeye ili nifanye mambo kwa jumla jumla
It's all about convenience mara nyingine sio appearance pekee na about fashion as well kuna kipindi watu walikuwa na briefcase (ambayo kwa sasa ukiwa nayo utaonekana kama mshamba (at that time it was more of a status symbol than convenient..; Laptop bag it was convenient kubebea laptop ila utaweka nini zaidi ya laptop ?

Safari bag (au niseme hivi vijibegi ambavyo unaweza kuweka mgongoni) ni convinient as maisha hususan ya mijini yamekuwa kama safari mtu anabangaiza siku kucha hachelewi kupiga kwenye mitumba akapata kasuruali, au bidhaa fulani ya kuokota (mtembea bure sio mkaa bure), huma kuna vijidude vyake kibao wengine unakuta kuna viatu ili akitoka kazini apige raba za kugombania usafiri na akifika kazini avae kiatu chake fit for kazi yake...

In short maisha ni mapambano na huenda begi hizo ni nyenzo ya vita....
Unabishana kwa sababu tu unaona aibu ku-surrender baada ya kuingilia mada kichwa kichwa. Alikuwa anaigiza na tulikuwa tunajua undani wake. Siku nyingine usirukia gari kwa mbele...
 
Unabishana kwa sababu tu unaona aibu ku-surrender baada ya kuingilia mada kichwa kichwa. Alikuwa anaigiza na tulikuwa tunajua undani wake. Siku nyingine usirukia gari kwa mbele...
Sasa maigizo ya rafiki yako na kama unajua ni muigizaji kwanini ulimshangaa ?!!!

Wewe umeleta mada kwenye mada ya watu wa Dar kutembea na vijibegi..., wewe ukaja na mada ya rafiki yako ambaye amekaa ulaya miaka minne kwamba alikuja likizo akawa anabegi zito (kama la watalii) anavaa pensi na kushangaa Samora !!! Moja je watalii wanashangaa Samora ? ; Mbili kwanini watalii hao wakiwa Bongo ndio wana mabegi makubwa na sio kwao ? (convenience huku kwenye hilo begi kuna kila kitu from kitanda cha kujilaza wakiwa kwenye safari /utalii wao mpaka picnic utensils za kujipikilisha) Sasa rafiki yako alikuwa anafanya hayo akiwa Samora (au umeamua kuchangamsha baraza)

Tatu kuvaa pensi (ndio watu wanavaa pensi wakiwa summer ni more convenient na comfortable hususan kwa mtu ambaye anamiss weather ya huku au mwingine kutokana na humidity ya huku manguo yanasumbua.....

Ndio maana post yangu ya mwanzo nimekwambia kama unataka kusema jamaa yako ni mtu wa kuiga bora ungekuja na story za kwamba alivaa gloves, wholly hat na scarf katika tropical weather...
 
Back
Top Bottom