Lord Lofa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,525
- 2,799
Naunga mkono hoja mkuu hii haituhusuLimbukeni wapo wengi sana ila sio wote wengine waneweka laptop, document, material kwa wanafunzi na wafanyakazi kama waandishi wa habari hakuna hata haja ya kuifanya topic hii ishu ya vibegi mgogngoni, Hata ikiwa fashion au mtu kaweka deki mbovu ni utashi wake inahusu...!