Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

idawa

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
25,300
Reaction score
38,450
Sijui wanaweka nini humo ndani, maana ni kama fashion kwa sasa.
Juzi wakati nipo Taifa kuna kijana nilikaa nae jirani wakati anafungua nikachungulia, Ajabu katoa headphone ya simu na hamkuemo na kitu kingine cha ziada ndani nilichoka sana.

Binafsi naona kama ni ushamba fulani hivi ambao vijana wanalimbukia bila kujielewa.
 
Sijui wanaweka nini humo ndani, maana ni kama fashion kwa sasa.
Juzi wakati nipo Taifa kuna kijana nilikaa nae jirani wakati anafungua nikachungulia ajabu akatoa headphone ya simu na hamkuemo na kitu kingine cha ziada nilichoka sana.

Binafsi naona kama ni ushamba fulani hivi ambao vijana wanalimbukia bila kujielewa.

Kaka hilo liko wazi! Dar es Salaam ulitokea mtindo ambao wengi hawawezi kuamini lakini watu wengi yameshawakuta sana! Kwamba ukiwa na beg lenye komputa mpakato( laptop) umelishika mkononi wanakuja watu wako ndani ya gari wanakushika mkono halafu gari linawashwa kwa kasi, sasa ili kukwepa kuumia lazima mkono uachie na jamaa wanachukua laptop kiulaini! Sasa ili kujipunguza na kasheshe hizo watu wakabuni kuweka mgongoni na kwa kiasi kikubwa imesaidia sana, sasa wengine imekua fashion lakini chimbuko lake kubwa lilikuwa hilo!
 
Acheni ushambahilo beg ni personal package ,unaweza weka ipad,gadgets yoyote ile ,vitabu hata condom because its safe

Ushamba ni kuzurura na begi kutwa nzima na ndani hamna kitu, wengi wao hawajui kwa nini wanatembea na Vibegi mgongoni.
 
Back
Top Bottom