Mlavumbi wa Ukweli
Member
- Jan 22, 2014
- 65
- 38
Acheni ushamba hilo beg ni personal package ,unaweza weka ipad,gadgets yoyote ile ,vitabu hata condom because its safe
Upo sahihi, labda kama wakuu walitaka vijana hao wabebe pochi instead
Acheni ushamba hilo beg ni personal package ,unaweza weka ipad,gadgets yoyote ile ,vitabu hata condom because its safe
Ni nini hiki..
Sijui wanaweka nini humo ndani, maana ni kama fashion kwa sasa.
Juzi wakati nipo Taifa kuna kijana nilikaa nae jirani wakati anafungua nikachungulia, Ajabu katoa headphone ya simu na hamkuemo na kitu kingine cha ziada ndani nilichoka sana.
Binafsi naona kama ni ushamba fulani hivi ambao vijana wanalimbukia bila kujielewa.

Nimesoma ila nashangaa kweli mtu kubeba begi empty ni big deal kwako? Sure? Aliweka earphone ulikuwa unajua alitokea wapi na alikuwa anaenda wapi? Kama lilikuwa na kazi huko aliko kuwa anaenda au alikokuwa anatoka? Ok aliweka earphone kipi cha ajabu. Kwani mtu akinunua unampangia matumizi. Kila mtu ana namna ya kuendesha maisha yake ili mradi havunji sheria better uwaache watu na maisha yao uhangaike na yako. Labda kama umeathirika katika shughuli zako kwa ubebaji wa mabegi empty
Nimesoma ila nashangaa kweli mtu kubeba begi empty ni big deal kwako? Sure? Aliweka earphone ulikuwa unajua alitokea wapi na alikuwa anaenda wapi? Kama lilikuwa na kazi huko aliko kuwa anaenda au alikokuwa anatoka? Ok aliweka earphone kipi cha ajabu. Kwani mtu akinunua unampangia matumizi. Kila mtu ana namna ya kuendesha maisha yake ili mradi havunji sheria better uwaache watu na maisha yao uhangaike na yako. Labda kama umeathirika katika shughuli zako kwa ubebaji wa mabegi empty
Nimesoma ila nashangaa kweli mtu kubeba begi empty ni big deal kwako? Sure? Aliweka earphone ulikuwa unajua alitokea wapi na alikuwa anaenda wapi? Kama lilikuwa na kazi huko aliko kuwa anaenda au alikokuwa anatoka? Ok aliweka earphone kipi cha ajabu. Kwani mtu akinunua unampangia matumizi. Kila mtu ana namna ya kuendesha maisha yake ili mradi havunji sheria better uwaache watu na maisha yao uhangaike na yako. Labda kama umeathirika katika shughuli zako kwa ubebaji wa mabegi empty
Nadhan kwa kiswahili ungeeleweka vizur, kimombo shule
Wanasema ni swaga,mi nawashangaa wanaotembea njiani wamevaa headphones zile kubwa masikioni na begi mgongoni kama zile za wacheza mpira wa mamtoni.
Wanaiga sana
Mimi ni kijana,naishi Dar na pia ni mjasiliamali. Kiukweli mimi napenda sana kubeba au kutembea na mkoba wangu niendapo sehemu yoyote ile...iwe hapa Bongo,mkoani au hata nje ya nchi.
Mara nyingi ndani ya mkoba wangu naweka na kutembeanavyo vitu vitatu ambavyo ni vya muhimu sana kwangu.
Ipad,driving license,kadi zangu za bank na simu yangu. Na kama ninasafiri kwenda nje ya nchi basi naongezea Air ticket na passport yangu. Mimi siyo brotherman wala tozz ila napenda kubeba huu mkoba kutokana na vitu ninavyopenda kuwanavyo all the time.
Na mkoba wangu ndiyo huu hapa chini.View attachment 176645
i love tha bag OMG...
Abuhuna. It understand me it not understand ? I am not know why people it not know simple english. If I am write english of inside it will say what ? I am know even deep english of countryside england. Very tough..And if you hear I am speak through the nose deep slang ???
acha matusi dogo..Nilishasema mimi jiji la dada limejaa malimbukeni na mambumbu.
You are know everybody at Dar es Salaam is pretend is big boss and is have laptop. I am not know why. Every bigman is have laptop. how can people know you have hidden laptop ? It simply carry a bag. wear nice cloth. be smart and you pass as respectful person. You are not carry bag they know you are daladala conductor or you not have many money. Simple trick it use.
Halijanizuia na haliwezi kunizuia chochote, kilichofanya nihoji ni baada ya kuona kijana amebeba begi lina headphone tu. Huu ni ujanja swaga au fashion.?
Mkuu nimempenda kwa kuwa muwazi kwenye comment yako, japo wengine wanakua wakali hadi kutetea upuuzi.Mimi ni kijana,naishi Dar na pia ni mjasiliamali. Kiukweli mimi napenda sana kubeba au kutembea na mkoba wangu niendapo sehemu yoyote ile...iwe hapa Bongo,mkoani au hata nje ya nchi.
Mara nyingi ndani ya mkoba wangu naweka na kutembeanavyo vitu vitatu ambavyo ni vya muhimu sana kwangu.
Ipad,driving license,kadi zangu za bank na simu yangu. Na kama ninasafiri kwenda nje ya nchi basi naongezea Air ticket na passport yangu. Mimi siyo brotherman wala tozz ila napenda kubeba huu mkoba kutokana na vitu ninavyopenda kuwanavyo all the time.
Na mkoba wangu ndiyo huu hapa chini.View attachment 176645
Mkuu mi hata sina hasira na huwa sichukii am sorry kama nimetumia lugha kali but mkuu hivi unafikiri mtu anaweza kutumia pesa yake kununua kitu ambacho hana kazi nacho?Punguza hasira mkuu Nia ni kuhoji je hivyo vibegi vinamatumizi gani.
Ndio maana nimekutana na majibu mengi na nimejifunza kitu japo awali nalikua najua ni wanafunzi wa chuo au watafuta kazi.