Mkuu hilo si suala la ajabu sana.Asilimia kubwa ya watumiaji wa begi hizo huwa na na sensitive materials ambazo zinavutia wizi.pili,bidhaa haramu.So,all in all,wanapunguza attention ya watu.Dunia ya leo kuna portable devices nyingi ambazo begi linarahisisha ubebaji na usalama.Unaweza kumkuta mtu ana kibegi kabeba headphones tu,ila ni beats by dre dukani ni sh laki mbili.ukiweka shingoni huku mitaani ni tabu.na wewe unataka uende nayo maybe beach,uwanjani etc ukaitumie huko uweke kwenye rambo?by the way,wengine tukienda bank na hela nyingi,utatukuta na appearance hiyo hiyo,chini pensi,juu tshirt,mgongoni kibegi,kumbe umejaza hela ya kupaulia nyumba.hata ukiacha kwenye gari hawachukui,ila weka briefcase uone!halafu mbona hamuwasemi wanaobeba briefcase na kuniga tai wakienda ofisini?it's just a matter of choice and style.Mie nikienda benki kibegi,nikienda site kibegi,nikienda gym mazoezini kibegi,wenye uelewa wa maisha wala hawataniuliza kwa nini nabeba.wacheni zenu bhana.