lovebitelol
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 964
- 972
Kumbe uliambiwa na mazoea yao. Ehee ilikuaje hadi ukauliza hivo na wakakupa jibu kua wamezoea?Cz kuna watu wangu wakaribu washaniambia wamezoea sana begi hata km halina kitu anabeba tuu
Kumbe uliambiwa na mazoea yao. Ehee ilikuaje hadi ukauliza hivo na wakakupa jibu kua wamezoea?Cz kuna watu wangu wakaribu washaniambia wamezoea sana begi hata km halina kitu anabeba tuu
SUMSUNG ndiyo kitu gani?Kuna mwingine niliona ameweka deki chakavu ya SUMSUNG ili ionekane kama laptop, sasa nikawa naona hiyi laptop kila siku hatoi, kuna siku nilasema ngoja nichungulie, nilichoka!
Relax mama mbna dizain km povu lakutokaKumbe uliambiwa na mazoea yao. Ehee ilikuaje hadi ukauliza hivo na wakakupa jibu kua wamezoea?
Kutwa kucha mko na maisha ya watu. Mtaendelea lini nyie. Mko radhi kuchunguza hadi vimo vya watu na kukosoaRelax mama mbna dizain km povu lakutoka
Karibu Dari SalamaSasa yeye amemuona mmoja au ameona wangapi? ina maana muda mwingi mtoa post kazi yake ni kuchunguza wabeba mabegi wanachokifanya: ama kweli huko Dasilamu kuna mambo!
sijuiSUMSUNG ndiyo kitu gani?
maadiri=maadiliInategea wala si ushamba, Dar ni mji wa watu wa kila aina wewe ukishangaa hilo Mimi nitakushangaa wewe, sababu Za mtu kubeba begi ni zake mwenyewe. Kwanza haivunji maadiri yeyote, mwingine anabeba begi kuwekea chochote ambacho anaweza kununua huko mtaani, badala ya kubebea mfuko wa Rambo.
Hii mada ishapita muda wa kuijadili ya mwaka 2014.maadiri=maadili
kwaio bange ni upuuzi?Upuuzi tu, wengine wanaweka bange
Na Sisi Tumempa Mamlaka D.Knob Ya Kutueleza Tuishije Si Ndio?D knob mbona alishaimba pia.Ni fashion ya zamani.
maadiri=maadiliInategea wala si ushamba, Dar ni mji wa watu wa kila aina wewe ukishangaa hilo Mimi nitakushangaa wewe, sababu Za mtu kubeba begi ni zake mwenyewe. Kwanza haivunji maadiri yeyote, mwingine anabeba begi kuwekea chochote ambacho anaweza kununua huko mtaani, badala ya kubebea mfuko wa Rambo.
Hii mada ishapita muda wa kuijadili ya mwaka 2014.
ahsante kwa mwaliko naogopa magari, nasikia huko Dasilama magari ndio yanawapisha abiriaKaribu Dari Salama
Itakuw ww mmoja wao kati y hao wasionazo.Wengine hata laptop hawana
Itakuw ww mmoja wao kati y hao wasionazo.