X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,721
- 14,852
ni ujana tuu unawasumbua...most of them wanabeba mizigo na wengine wanabeba mizigo hatari...tena ya hatari kama bangi na vifaa vya wizi...epuka kama upo sehemu na best yako akakwambia umsaidie kubeba begi lake ata kama ni ndugu yako hakikisha unajua alichokihifadhi humo ndani usije ukajikuta mikono mwa wana usalama huku ukiwa na kidhibit mkononi...then huyo ndugu akatokomea kusiko julikana