Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Watu wamikoani wanapenda sna majungu, dar mjini mambo mengi, dili kibao, vibahasha, laptop, chaji, ipad, body spray huwez kubeba kwenye rambo labda uwechizi
 
Tabia hiyo si kwa wanaume wa Dar tu, nina mtoto wa dada yangu anaingia kidato cha sita sasa. yaan mda mwingine nashikwa na bumbuwazi. kila sehemu ana kibegi mgongoni kama mganga wa kienyeji. hiyo tabia hakuwa nayo ila baada ya kwenda tu high school Rungwe sec. Nashindwa kumwelewa.hata nikimtuma sokoni ni lazima abebe begi mgongoni bila kusahau headphone.
 
Labda mashati/tisheti zao mgongoni zimechanika wanakua kama wanaziba hiv............hawa vijana wa DariSalamu wana vitabia vya ajabu ajabu sana tena viko vingi mno
 
Aya tuleteeni magunia bas, hatuwez kuishi mjini kma wanavoish bush, kwani uzunguke huku umebeba mamifuko majasho yakikwapa yanakuchuruzika, tupishane barabarani unanuka jasho kma mbuzi akat kunanjia simple na smart
 
We mtoa mada ndio mshamba, sasa si kubeba rucksucks kwenye misele yetu inakuuma nini kama hatujavunja sheria za jamuhuri ya muungano wa Tz.
Mbona nyie mnabebaga mipochi kila mahali tena mingine inakuwa mikubwa kama ma cover ya spare tyre za land cruiser ila si hatuwasemi.
 
Tabia hiyo si kwa wanaume wa Dar tu, nina mtoto wa dada yangu anaingia kidato cha sita sasa. yaan mda mwingine nashikwa na bumbuwazi. kila sehemu ana kibegi mgongoni kama mganga wa kienyeji. hiyo tabia hakuwa nayo ila baada ya kwenda tu high school Rungwe sec. Nashindwa kumwelewa.hata nikimtuma sokoni ni lazima abebe begi mgongoni bila kusahau headphone.

Kuna mwanafunzi yeye alkua akirudi chuo asubuh kwenye gari wakati akitoa nauli kumbe pochi na uzuri wake alikua kaficha taulo mafuta na chupi niliwaza na kuwazua
 
....Vipi kuhusu masista duu na vipima joto vyao makwapani...
Wao mule ndani ya mikoba yao mikubwa wanawekaga vitu gani??
 
kuna dogo langu wife akimtuma awapeleke watoto saluni lazima abebe kibegi,utasikia shem ile rasketi iko wapi au bro kaenda nayo field.
 
Nakuwa comfortable sana tena sana nikiwa na begi mgongoni hata kama halina kitu vinginevyo nitakuwa najiona mwepesi sana! But in most cases lazima kutakuwa na vitu vya "kutegeshea" kv CV hata kama sina kusudio la kuipeleka mahali! Lazima wakati wote uwe standby kwa michongo isiyotarajiwa!
 
Kaka hilo liko wazi! Dar es Salaam ulitokea mtindo ambao wengi hawawezi kuamini lakini watu wengi yameshawakuta sana! Kwamba ukiwa na beg lenye komputa mpakato( laptop) umelishika mkononi wanakuja watu wako ndani ya gari wanakushika mkono halafu gari linawashwa kwa kasi, sasa ili kukwepa kuumia lazima mkono uachie na jamaa wanachukua laptop kiulaini! Sasa ili kujipunguza na kasheshe hizo watu wakabuni kuweka mgongoni na kwa kiasi kikubwa imesaidia sana, sasa wengine imekua fashion lakini chimbuko lake kubwa lilikuwa hilo!
Ebu mwambie uyo
 
Acheni ushamba hilo beg ni personal package ,unaweza weka ipad,gadgets yoyote ile ,vitabu hata condom because its safe
Uzuri wa nchi zetu za afrika ni ku mind business zisizokuhusu. Hivi hata Kama unabeba beg hamna kitu wengine inatuhusu nini. Ubora wa ma mtoni hata ungeamua kubeba suitcase kila unspoenda Hakuna anaejali business za mwenzake. Sasa tuachane kushobokea business zisizotuhusu
 
Back
Top Bottom