Curious Naturally
JF-Expert Member
- Mar 2, 2013
- 528
- 523
Upuuzi tu, wengine wanaweka bange
hahahaaaaa! Na ugoro pia wanaeka!
Upuuzi tu, wengine wanaweka bange
Kaka hilo liko wazi! Dar es Salaam ulitokea mtindo ambao wengi hawawezi kuamini lakini watu wengi yameshawakuta sana! Kwamba ukiwa na beg lenye komputa mpakato( laptop) umelishika mkononi wanakuja watu wako ndani ya gari wanakushika mkono halafu gari linawashwa kwa kasi, sasa ili kukwepa kuumia lazima mkono uachie na jamaa wanachukua laptop kiulaini! Sasa ili kujipunguza na kasheshe hizo watu wakabuni kuweka mgongoni na kwa kiasi kikubwa imesaidia sana, sasa wengine imekua fashion lakini chimbuko lake kubwa lilikuwa hilo!
Mkuu wanaume na pedi Wapi na Wapi au unaongelea pedi tofauti
Kuna mwingine niliona ameweka deki chakavu ya SUMSUNG ili ionekane kama laptop, sasa nikawa naona hiyi laptop kila siku hatoi, kuna siku nilasema ngoja nichungulie, nilichoka!
Wanasema ni swaga,mi nawashangaa wanaotembea njiani wamevaa headphones zile kubwa masikioni na begi mgongoni kama zile za wacheza mpira wa mamtoni.
Wanaiga sana
Mkuu nimecheka hadi machozi.Jamaa yangu mmoja alienda Ulaya akakaa kama miaka mitano bila kurudi Tz. Aliporudi likizo siku moja nikamuona amebeba m-backpack wake mkuuubwa na mzito (kama wale wanaobeba watalii) mgongoni huku amevaa pensi lake anakataa mitaa ya Samora huku anaangalia kwa kushangaa shangaa kama watalii wanavyofanya.
Acheni ushamba hilo beg ni personal package ,unaweza weka ipad,gadgets yoyote ile ,vitabu hata condom because its safe
Upuuzi tu, wengine wanaweka bange
Kaka hilo liko wazi! Dar es Salaam ulitokea mtindo ambao wengi hawawezi kuamini lakini watu wengi yameshawakuta sana! Kwamba ukiwa na beg lenye komputa mpakato( laptop) umelishika mkononi wanakuja watu wako ndani ya gari wanakushika mkono halafu gari linawashwa kwa kasi, sasa ili kukwepa kuumia lazima mkono uachie na jamaa wanachukua laptop kiulaini! Sasa ili kujipunguza na kasheshe hizo watu wakabuni kuweka mgongoni na kwa kiasi kikubwa imesaidia sana, sasa wengine imekua fashion lakini chimbuko lake kubwa lilikuwa hilo!
Ushamba ni kuzurura na begi kutwa nzima na ndani hamna kitu, wengi wao hawajui kwa nini wanatembea na Vibegi mgongoni.