Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Vijana wa Dar na Vibegi mgongoni

Mi sehemu nayofanyia kibarua nilikuwa naonekana tozi kwa kubeba begi cha ajabu yule mzee alokuwa akiniita tozi nae siku hizi anabeba begi nadhani alielewa umuhimu wa lasket

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

Kwa hiyo Mzee alikumbwa na upepo wa mabadiliko.
 
Me begi langu ndo ofisi yangu, humo kuna dayari kwa ajili ya kumbu kumbu, kalamu, na bidhaa kama power bank, External Hard Disc, Memory Cards, Earphones n.k hapo nasaka mteja au napeleka oda kokote dar.
Ukitaka kuamini nicheki 0777883861 alafu niagize chochote kati ya hivyo uone nakuletea kokote ulipo na begi langu ambalo zamani nilikua nimejaza vyeti na cv baada ya kupata bachelor. Ila now days nimejiajiri kwa namna hii
Big up sana.
 
Wakuu hii mada imenifurahisha sana. Kiukweli ukiachana na washamba wachache wanaopenda kuiga kila kitu, lakini asilimia kubwa vijana wa town tunaobeba mabegi huwa ni kwa ajili ya kuhifadhi gadgets including laptop, camera, I pad na charger zake.
Mfano mm kila nikitoka kwenda kwenye Moshe zangu town lazima nibebe bag mgongoni kwa ajili ya kuhifadhi gadgets zangu, pia kwa sie watt wa mini bag mgongoni linasaidia in case ukikutana na kitu kikali kama vile shati, jeans au raba Kali inakuwa rahisi kuvihifadhi na so kuwekewa kwny mfuko wa rambo.
Pia kwa mabachelor inasaidia hususani jioni unaporudi kutupia ma take away hivi e.g kiepe yai au mishkaki flani mingi, burger e.t.c. kwa ajilii ya dinner hivi ghetto.
 
Wakuu hii mada imenifurahisha sana. Kiukweli ukiachana na washamba wachache wanaopenda kuiga kila kitu, lakini asilimia kubwa vijana wa town tunaobeba mabegi huwa ni kwa ajili ya kuhifadhi gadgets including laptop, camera, I pad na charger zake.
Mfano mm kila nikitoka kwenda kwenye Moshe zangu town lazima nibebe bag mgongoni kwa ajili ya kuhifadhi gadgets zangu, pia kwa sie watt wa mini bag mgongoni linasaidia in case ukikutana na kitu kikali kama vile shati, jeans au raba Kali inakuwa rahisi kuvihifadhi na so kuwekewa kwny mfuko wa rambo.
Pia kwa mabachelor inasaidia hususani jioni unaporudi kutupia ma take away hivi e.g kiepe yai au mishkaki flani mingi, burger e.t.c. kwa ajilii ya dinner hivi ghetto.

dadadeki,umegonga mule mule mwanangu.ooiii.
 
Sijui wanaweka nini humo ndani, maana ni kama fashion kwa sasa.
Juzi wakati nipo Taifa kuna kijana nilikaa nae jirani wakati anafungua nikachungulia, Ajabu katoa headphone ya simu na hamkuemo na kitu kingine cha ziada ndani nilichoka sana.

Binafsi naona kama ni ushamba fulani hivi ambao vijana wanalimbukia bila kujielewa.

wewe kama hujawahi kubeba mabegi ya aina hio kaa kimya....wengine laptop tunaweka humo badala ya mikoba iliozoeleka tena uzuri wake wengi ni kama wewe mnafikiri ni swagga tu hamna kitu kwenye begi.
 
Na wewe ni mmoja wao.?

Mkuu mimi naingia kwenye kazi na begi iliyo na documents za kufanyia kazi pamoja na Laptop, simu nk.
Wacha umbeya. Wewe inakuhusu nini .... .... .. pilipili ipo shambani Wacha fujo!
 
Je, kwa wale wanaomiliki laptop mlitaka wabebe wapi.. au kumiliki laptop, ipad na vitu kama hvyo nao ni ulimbukeni??? Dhana ni dhambi mbaya sana.....
 
Sijui wanaweka nini humo
ndani, maana ni kama fashion kwa sasa.
Juzi wakati nipo Taifa kuna kijana nilikaa nae jirani wakati anafungua
nikachungulia, Ajabu katoa headphone ya simu na hamkuemo na kitu kingine
cha ziada ndani nilichoka sana.

Binafsi naona kama ni ushamba fulani hivi ambao vijana wanalimbukia bila
kujielewa.

hao ni wasugua miguu ya akinamama, ndani kuna brash lotion shampoo na rangi za kucha.
 
hao ni wasugua miguu ya akinamama, ndani kuna brash lotion shampoo na rangi za kucha.
Ajabu kila mtu anasema anabebea Laptop, iPad na iPhone. Wachache walioongea ukweli kuwa ni swaga tu.
 
Kuna kijana ali imba wimbo usemao majiran wanapiga chabo,nilikuwa naumpenda sana, sasa wewe ndugu yangu,ulipiga chabo kwenye beg ya mwenzio kwann? uo udaku bwana.
 
Wakuu hii mada imenifurahisha sana. Kiukweli ukiachana na washamba wachachewanaopenda kuiga kila kitu, lakini asilimia kubwa vijana wa town tunaobeba mabegi huwa ni kwa ajili ya kuhifadhi gadgets including laptop, camera, I pad na charger zake.
Mfano mm kila nikitoka kwenda kwenye Moshe zangu town lazima nibebe bag mgongoni kwa ajili ya kuhifadhi gadgets zangu, pia kwa sie watt wa mini bag mgongoni linasaidia in case ukikutana na kitu kikali kama vile shati, jeans au raba Kali inakuwa rahisi kuvihifadhi na so kuwekewa kwny mfuko wa rambo.
Pia kwa mabachelor inasaidia hususani jioni unaporudi kutupia ma take away hivi e.g kiepe yai au mishkaki flani mingi, burger e.t.c. kwa ajilii ya dinner hivi ghetto.
Mkuu umeongea ukweli tupu, tatizo ni jinsi ya kuwatofautisha.
 
Nyie above ,40s mbona mnatushambulia hivyo! Mtuache hamjui masaibu yanayotupata smtime gheto hakusomemi ukipita dukani unatupia mandazi ya azam mawili na cola day imepita si fair kubeba hadharani babies wataona.

ndugu yangu hicho kiswahili
 
Back
Top Bottom