Shimba ya Buyenze anaendelae kuzivaa, siyo?Nasikia bado zipo usukumani😂
View attachment 3450128
Kwahiyo unautani na tilalila sio?Nasikia bado zipo usukumani😂
View attachment 3450128
Kuna siku niko primary, maticha wanoko walikua hawatuachi salama tusipochomekea.Umekaa zako unakuta chuma imetoka nje ya mfumo
😂😂😂😂Kuna siku niko primary, maticha wanoko walikua hawatuachi salama tusipochomekea.
Sasa mimi kila nikichomekea shati inatoka, nikaona hapa soln ni kuchomekea kwenye TMK wanaume family ili nisipate bugdha, aisee kwanini chuma isipande juu 😂😂.
Niko mbele ya mademu tmk iko juu ndo nimechomekea humo.
😂😂😂😂Umekaa zako unakuta chuma imetoka nje ya mfumo
Umefananisha na vip. Hizo ni chupi za kawaida zenye brand ya wanaume... TMKChuma zinapanda juu hizo 😂😂, ukizubaa ipo tumboni
Mzee machupi ya kitambo hayakua bora.Umefananisha na vip. Hizo ni chupi za kawaida zenye brand ya wanaume... TMK