Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 1,711
- 3,575
Haya weka mbinu hapa namna ya kufikia mafanikio yako.Mtajua wenyewe
Haya weka mbinu hapa namna ya kufikia mafanikio yako.Mtajua wenyewe
Inasikitisha sanaWaache wawe mashoga tu wao si wanahisi mjini msngi kiuno
26C6338 betpawaFor almost 2 year ambapo nilianza kufanya kilimo serious nimeingiza almost 30 milioni for two year aisee! Nyie sasa kutwa kushinda kwenye betting na msingi kiuno halafu mtegemee kutoboa kwenye maisha?
Vijana pambaneni kwenye kilimo tokeni hapo Dar esSalaam hapo nendeni mkalime mwishowe mkiendelea kukaa hapo hapo Dar mtafanywa msingi kiuno
Eti kisa umesoma ndiyo hamji kwenye kilimo? Makima nyie? Infact kama mnataka mali njoeni shambani aisee kima nyie.
" mjini msingi kiuno"
Kazi ya kulipwa 750k kwa mwezi?Kama huna kazi kalime
Chief God love unatufanya sie wajinga?For almost 2 year ambapo nilianza kufanya kilimo serious nimeingiza almost 30 milioni for two year aisee! Nyie sasa kutwa kushinda kwenye betting na msingi kiuno halafu mtegemee kutoboa kwenye maisha?
Vijana pambaneni kwenye kilimo tokeni hapo Dar esSalaam hapo nendeni mkalime mwishowe mkiendelea kukaa hapo hapo Dar mtafanywa msingi kiuno
Eti kisa umesoma ndiyo hamji kwenye kilimo? Makima nyie? Infact kama mnataka mali njoeni shambani aisee kima nyie.
" mjini msingi kiuno"
mkuu kama hutojali share uzoefu wako hivo hivo ulivyoanguka, watu wengi tunapenda kusikiliza mafanikio tunakosa sehem muhim yakujifunza..Umelima nini mkuu? Tupe mbinu na sie tutajirike. Mimi nakula hasara kila siku japo ni kitu nakipenda kufanya so siachi.
umezungumza jambo zito na la maana sana .For almost 2 year ambapo nilianza kufanya kilimo serious nimeingiza almost 30 milioni for two year aisee! Nyie sasa kutwa kushinda kwenye betting na msingi kiuno halafu mtegemee kutoboa kwenye maisha?
Vijana pambaneni kwenye kilimo tokeni hapo Dar esSalaam hapo nendeni mkalime mwishowe mkiendelea kukaa hapo hapo Dar mtafanywa msingi kiuno
Eti kisa umesoma ndiyo hamji kwenye kilimo? Makima nyie? Infact kama mnataka mali njoeni shambani aisee kima nyie.
" mjini msingi kiuno"
Kama mdad mzuri unashepu nakushaul uwe mdangaji ntakuwa mteja wakoFor almost 2 year ambapo nilianza kufanya kilimo serious nimeingiza almost 30 milioni for two year aisee! Nyie sasa kutwa kushinda kwenye betting na msingi kiuno halafu mtegemee kutoboa kwenye maisha?
Vijana pambaneni kwenye kilimo tokeni hapo Dar esSalaam hapo nendeni mkalime mwishowe mkiendelea kukaa hapo hapo Dar mtafanywa msingi kiuno
Eti kisa umesoma ndiyo hamji kwenye kilimo? Makima nyie? Infact kama mnataka mali njoeni shambani aisee kima nyie.
" mjini msingi kiuno"