Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,515
Habari wakuu,
Husika na kichwa cha habari tajwa,
Vijana wengi wamekuwa hawataki kuzeeka na imefika mahali wamekuwa wakiona uzee hauna maana kwao.
Wengine wamekuja na majina kabisa kwamba uzee mwisho chalinze.
Ukitazama wazee wa zamani walikuwa ni wazee wenye hekima na busara.
Ila ukitazama wazee wajao watakuja kuwepo wale wazee ambao ni wazee ambao hawajui kuwa ni wazee.
Wanajiita wazee vijana, yaani wanakuwa na uzee na kijana ndani yao.
Ni wazee ila wanafanya mambo ambayo ni ya vijana na wanaona sawa.
Sio kwa kuongea kwao tu hata mavazi ya wazee wa Sasa Yana ujana ndani yake.
Utakuta Mzee mzima anaongea kama kijana wa mdogo.
Hajui lipi la kuongea lipi akae kimya, maana amekosa busara za uzee.
Hajitambui kuwa yeye ni mzee na muda umepita analazimisha kuwa kijana.
Hajui lipi la kushauri vijana maana analazimisha kuwa bado yeye ni kijana.
Si wazee wanawaume tu hata wazee wanawake wapo.
Tutapata wapi wazee wenye hekima?
Kizazi cha wazee wasiojitambua kuwa muda wao wa ujana umepita na wakubali kuwa ni wazee kinakuja...
Husika na kichwa cha habari tajwa,
Vijana wengi wamekuwa hawataki kuzeeka na imefika mahali wamekuwa wakiona uzee hauna maana kwao.
Wengine wamekuja na majina kabisa kwamba uzee mwisho chalinze.
Ukitazama wazee wa zamani walikuwa ni wazee wenye hekima na busara.
Ila ukitazama wazee wajao watakuja kuwepo wale wazee ambao ni wazee ambao hawajui kuwa ni wazee.
Wanajiita wazee vijana, yaani wanakuwa na uzee na kijana ndani yao.
Ni wazee ila wanafanya mambo ambayo ni ya vijana na wanaona sawa.
Sio kwa kuongea kwao tu hata mavazi ya wazee wa Sasa Yana ujana ndani yake.
Utakuta Mzee mzima anaongea kama kijana wa mdogo.
Hajui lipi la kuongea lipi akae kimya, maana amekosa busara za uzee.
Hajitambui kuwa yeye ni mzee na muda umepita analazimisha kuwa kijana.
Hajui lipi la kushauri vijana maana analazimisha kuwa bado yeye ni kijana.
Si wazee wanawaume tu hata wazee wanawake wapo.
Tutapata wapi wazee wenye hekima?
Kizazi cha wazee wasiojitambua kuwa muda wao wa ujana umepita na wakubali kuwa ni wazee kinakuja...