Vijana punguzeni dharau kwa Mwalimu Bashiru

Vijana punguzeni dharau kwa Mwalimu Bashiru

Wapo vijana wa kihutu watamheshimu huyo Mtanzania mwenye asili ya Burundi...aende Burigi akatambike.
 
Nimekuwa Nikiona Vijana Wengi Wakituma picha za Mwalimu Bashiru Na Kuandika Maneno Ya Dharau na Kejeli juu yake.

Tupunguze dhihaka na Dharau Kwa Mwalimu Bashiru, Wakati Bashiru Akiwa SG Wa CCM Wala Hakuwa Mtu Wa Majigambo Kama Watangulizi Wake.

Aliwahi kuwakemea hadharani Viongozi Vijana Kama Nape, Makonda, Hapi Kwamba Wakajifunze Siasa na Uongozi Lakini leo Vijana Tena Wa CCM Mnatuma Picha Mkimdhiaki na Dharau Juu.

Vijana Msipomheshimu Mwalimu Bashiru Kwa Cheo Chake Cha Ukatibu Mkuu Mstaafu au Cheo Cha Ubunge Wake, Basi Mheshimuni Hata Umri Wake [emoji120][emoji120]
Labda wewe na mke wake ndio mumuheshimu huyu mrudi
IMG_20210430_035659.jpeg
 
Badala ya kununua vitabu mashuleni walinunua malaya wakafanya nao ngono ya kisiasa,ni siasa za hovyo kabisa kuwahi kutokea duniani.
 
Anawafundisha wanafunzi kutumia dola kubakia madarakani hali yeye kashindwa kuitumia dola hio hio kubakia madarakani
 
Nimekuwa Nikiona Vijana Wengi Wakituma picha za Mwalimu Bashiru Na Kuandika Maneno Ya Dharau na Kejeli juu yake.

Tupunguze dhihaka na Dharau Kwa Mwalimu Bashiru, Wakati Bashiru Akiwa SG Wa CCM Wala Hakuwa Mtu Wa Majigambo Kama Watangulizi Wake.

Aliwahi kuwakemea hadharani Viongozi Vijana Kama Nape, Makonda, Hapi Kwamba Wakajifunze Siasa na Uongozi Lakini leo Vijana Tena Wa CCM Mnatuma Picha Mkimdhiaki na Dharau Juu.

Vijana Msipomheshimu Mwalimu Bashiru Kwa Cheo Chake Cha Ukatibu Mkuu Mstaafu au Cheo Cha Ubunge Wake, Basi Mheshimuni Hata Umri Wake [emoji120][emoji120]
Huyo Mhutu hastahili heshima yoyote,yeye ndiye alileta siasa za kishenzi za kutumia vyombo vya dola kuhujumu mchakato wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa na wizi wa kura uliokithiri kwenye uchaguzi mkuu uliopita,ni huyu aliyeleta sera za kutumia mabilioni ya kodi zetu katika mradi wa kununua wapinzani uchwara. Ni mmoja wa watu waliofanya Magufuli kuchukiwa na watu wengi.
JamiiForums1791349533.jpg
 
Kwa mfumo wa maisha wa Dr, Bashiru ni vigumu sana kupoteza ubalozi.

Kwanza wengi hawafahamu Dr, Bashiru kwa muda mrefu wa maisha yake amekuwa imam wa misikiti kadhaa.

Mwaminifu, mwadilifu, mtiifu, mwerevu, Ana silka ya uongozi, Mkweli, myenyekevu kwa silka na kwa matendo. Kanyooka kwa tabia na matendo, hajawahi kutoa wala kupokea rushwa hata kama kwa kufanya hivyo kuna opportunity atakosa. . Dr. Bashitu na wale watoto wa mjini mnawaita mnoko.


Haya mamitandao watu wanaweza wakaandika wanavyofikiria wao na ukapata picha tofauti ya tabia ya kiongozi kinyume na alivyo. .
Tunasubiria report ya special audit ya BOT
 
Bashiru ndio alikwambia hivyo?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mabavicha wajinga sana aisee!

Kwa akili yangu mimi siwezi kumnanga wala kumzodoa Bashiru pale alipo.

Maisha yako yote na ukoo wako hamuwezi kumfikia Bashiru maisha yake alafu eti uko hapa unamzodoa?
Sawa kwa vile kakuzidi wewe unadhani kamzidi kila mtu.
 
Alikosea ile kauli yake kwamba tutatumia dola kubaki madarakani,

Ameonekana kigeugeu kwa sababu ya njaa , Mana amekuwa na mtazamo tofauti wakati yupo CUF na alipopata wazifa CCM.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bashiru hajawahi kuwa CUF, kama unao ushahidi tuleteeni hapa au unaongea uliyosikia watesi wake wanaongea tu? Lete ushahidi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Unakuta huyo mtu anamdharau Bashiru, ukoo wake wote umeliwa na umasikini huku Bashiru yeye akikunja 11mlioni per month!

Vijana wa Bavicha wengi ni wajinga sana.
Hoja ya kipumbavu kabisa hili kutoka kibaka wa uvccm,kama anakunja m11 ndiyo watu wasiseme uovu wake? Magufuli licha ya kukunja hela zaidi ya hiyo alikuwa Rais wa JMT na amesemwa na kushutumiwa itakuwa huyu Mhutu wenu? Wewe mwenyewe hapo ulipo ni maskini wa akili.
 
Tutatengeneza ubishi usio na maana, kati ya wewe unamfikiria kwa kumdhania, na mimi ninaye mfahamu kwa hakika.

Kwa uzee wangu Mimi ni magumu sana kusifia kitabia kwa sababu nimeona wengi na binadamu tabia hubadilika, kwa umri wake na anazidi kumsujudia mungu wake, anaishi kwa haki na imani, kwa matendo hakuna cha kubadilika tena kwa Dr. Bashiru.

Anaishi maisha ya kuridhika, kumtii mungu wake na hata kama hana mali nyingi.
Wewe unamjua sana kwani unaishi ndani ya nafsi yake?
 
Nilikeleka sana siku moja namuona anazungumzia sijui kutotoka madarakani CCM kwa njia yeyote ile huku kavaa kanzu na barakashia daah nikasema anatupaka matope huyu aisee...
Alikua anatimiza kazi aliyotumwa na mwajiri wake, alaumiwe aliyemtuma
 
Back
Top Bottom