Vijana punguzeni dharau kwa Mwalimu Bashiru

Vijana punguzeni dharau kwa Mwalimu Bashiru

Nimekuwa Nikiona Vijana Wengi Wakituma picha za Mwalimu Bashiru Na Kuandika Maneno Ya Dharau na Kejeli juu yake.

Tupunguze dhihaka na Dharau Kwa Mwalimu Bashiru, Wakati Bashiru Akiwa SG Wa CCM Wala Hakuwa Mtu Wa Majigambo Kama Watangulizi Wake.

Aliwahi kuwakemea hadharani Viongozi Vijana Kama Nape, Makonda, Hapi Kwamba Wakajifunze Siasa na Uongozi Lakini leo Vijana Tena Wa CCM Mnatuma Picha Mkimdhiaki na Dharau Juu.

Vijana Msipomheshimu Mwalimu Bashiru Kwa Cheo Chake Cha Ukatibu Mkuu Mstaafu au Cheo Cha Ubunge Wake, Basi Mheshimuni Hata Umri Wake [emoji120][emoji120]
Alichowafanyia watanzania hatokaa awe salama moyoni na bahati mbaya aliyemtegemea ndiyo kashaitwa na Mungu.
 
Alikosea ile kauli yake kwamba tutatumia dola kubaki madarakani,

Ameonekaga kigeugeu kwa sababu ya njaa , Mana amekuwa na mtazo tofauti wakati yupo CUF na alipopata wazifa CCM.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dhambi ya wizi wa kura na kuwanunua wapinzani akiamini ndiyo anaua upinzani itamtafuna miaka yoote ya maisha yake hapa duniani.
 
Nimekuwa Nikiona Vijana Wengi Wakituma picha za Mwalimu Bashiru Na Kuandika Maneno Ya Dharau na Kejeli juu yake.

Tupunguze dhihaka na Dharau Kwa Mwalimu Bashiru, Wakati Bashiru Akiwa SG Wa CCM Wala Hakuwa Mtu Wa Majigambo Kama Watangulizi Wake.

Aliwahi kuwakemea hadharani Viongozi Vijana Kama Nape, Makonda, Hapi Kwamba Wakajifunze Siasa na Uongozi Lakini leo Vijana Tena Wa CCM Mnatuma Picha Mkimdhiaki na Dharau Juu.

Vijana Msipomheshimu Mwalimu Bashiru Kwa Cheo Chake Cha Ukatibu Mkuu Mstaafu au Cheo Cha Ubunge Wake, Basi Mheshimuni Hata Umri Wake [emoji120][emoji120]
Ameshirikiana sana na Magufuli kuuwa demokrasia yetu hafai kabisa na ana kesi nyingi za kujibu.
 
Yaannwana mzarau wakat mwenzao anapo keti tu pale anakunja 249 K
Baadabya miaka hii 4 anatia kibindon almost 500M tsh ...
Akili zako zinaongozwa na njaaa.
Yaani umyukuze mwoovu kisa analipwa fedha nyingi?

Wewe naona upo tayari kumpongeza na kumtukuza mwizi na jambazi au hata dikiteeta kisa anamali nyingi.
 
Yaannwana mzarau wakat mwenzao anapo keti tu pale anakunja 249 K
Baadabya miaka hii 4 anatia kibindon almost 500M tsh ...
Heshima na kuacha athari ndio kimuhimu kwa anaejitambua kuna waliondoka na zaidi ya hiyo 500M wakaishia kudhalilika mitaani hunawaona wabunge waliokufa kwa kushindwa hata kujitibu?
Utu Heshima na uzalendo wa kweli ndio Muhimu
 
Hivi alivuliwa na ubalozi mbona hutumii balozi tena ? Mwalimu hatakiwi kurudi darasani atadaka kweli vijana wetu..ile nguvu aliyokua nayo akiongea imepotea kabisaa..
Kwa mfumo wa maisha wa Dr, Bashiru ni vigumu sana kupoteza ubalozi.

Kwanza wengi hawafahamu Dr, Bashiru kwa muda mrefu wa maisha yake amekuwa imam wa misikiti kadhaa.

Mwaminifu, mwadilifu, mtiifu, mwerevu, Ana silka ya uongozi, Mkweli, myenyekevu kwa silka na kwa matendo. Kanyooka kwa tabia na matendo, hajawahi kutoa wala kupokea rushwa hata kama kwa kufanya hivyo kuna opportunity atakosa. . Dr. Bashitu na wale watoto wa mjini mnawaita mnoko.


Haya mamitandao watu wanaweza wakaandika wanavyofikiria wao na ukapata picha tofauti ya tabia ya kiongozi kinyume na alivyo. .
 
Kwa mfumo wa maisha wa Dr, Bashiru ni vigumu sana kupoteza ubalozi.

Kwanza wengi hawafahamu Dr, Bashiru kwa muda mrefu wa maisha yake amekuwa imam wa misikiti kadhaa.

Mwaminifu, mwadilifu, mtiifu, mwerevu, Ana silka ya uongozi, Mkweli, myenyekevu kwa silka na kwa matendo. Kanyooka kwa tabia na matendo, hajawahi kutoa wala kupokea rushwa hata kama kwa kufanya hivyo kuna opportunity atakosa. . Dr. Bashitu na wale watoto wa mjini mnawaita mnoko.


Haya mamitandao watu wanaweza wakaandika wanavyofikiria wao na ukapata picha tofauti ya tabia ya kiongozi kinyume na alivyo. .
Ishu ya kupata au kupokea rushwa hakuna uchunguzi uliofanywa juu yake na wala hakuna tuhuma yeyote ilo tuliache sijui imam wa msikiti haimfanyi yeye kuwa mtakatifu...ingekua haya unayoyaongea angeyasimamia alipokua anapata vyeo sidhani kama angepita nyuma nyuma sasa hivi kama bado ni balozi mbona hawaanzi kumwita Balozi Bashiru...
 
Alikosea ile kauli yake kwamba tutatumia dola kubaki madarakani,

Ameonekaga kigeugeu kwa sababu ya njaa , Mana amekuwa na mtazo tofauti wakati yupo CUF na alipopata wazifa CCM.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio hiyo tu na ule ujasiri wa kumwambua mama ajiuzulu umakamu rais,ndio imemletea fedheha yote hii
 
Kwa mfumo wa maisha wa Dr, Bashiru ni vigumu sana kupoteza ubalozi.

Kwanza wengi hawafahamu Dr, Bashiru kwa muda mrefu wa maisha yake amekuwa imam wa misikiti kadhaa.

Mwaminifu, mwadilifu, mtiifu, mwerevu, Ana silka ya uongozi, Mkweli, myenyekevu kwa silka na kwa matendo. Kanyooka kwa tabia na matendo, hajawahi kutoa wala kupokea rushwa hata kama kwa kufanya hivyo kuna opportunity atakosa. . Dr. Bashitu na wale watoto wa mjini mnawaita mnoko.


Haya mamitandao watu wanaweza wakaandika wanavyofikiria wao na ukapata picha tofauti ya tabia ya kiongozi kinyume na alivyo. .
Mkuu Gerald .M Magembe
Vijana wa ccm wamejawa na roho mbaya na kufurahia maanguko ya wengine ili kujifariji shida zetu. Ni wajinga na wapumbavu wachache ndo wanaweza kumdhihaki Mwalimu Bashiru
 
Back
Top Bottom