Vijana punguzeni dharau kwa Mwalimu Bashiru

Vijana punguzeni dharau kwa Mwalimu Bashiru

Bashiru kama bashiru ni yule wa chini ya 2015 ,bashiru wa CUF ,huyu wa sasa dalali wa wanasiasa na mpigaji wa 180b mwache watu wamdharau.
Umeonaeeeeee?
Wakati yupo cuf na kina Mtatiro walikuwa watu wa kuaminika.

Lkn baada ya kukubali kununuliwa na mwenda zake basi sasa hivi wameshajiunga na kina Kibajaj
 
Unabisha kwamba hakusema? Maana kama unafuatilia siasa na hukusikia unaleta mashaka
Lakini kwani alisema uongo?

Ni lini CCM hawakutumia dola kubaki madarakani?

Hata kabla ya bashiru kuwepo walitumia dola vile vile.

Alichofanya bashiru ni kuupasua ukweli...... Ulitaka aseme nini?

Kwamba Chadema wataingia ikulu? Shabash!
 
Nimekuwa Nikiona Vijana Wengi Wakituma picha za Mwalimu Bashiru Na Kuandika Maneno Ya Dharau na Kejeli juu yake.

Tupunguze dhihaka na Dharau Kwa Mwalimu Bashiru, Wakati Bashiru Akiwa SG Wa CCM Wala Hakuwa Mtu Wa Majigambo Kama Watangulizi Wake.

Aliwahi kuwakemea hadharani Viongozi Vijana Kama Nape, Makonda, Hapi Kwamba Wakajifunze Siasa na Uongozi Lakini leo Vijana Tena Wa CCM Mnatuma Picha Mkimdhiaki na Dharau Juu.

Vijana Msipomheshimu Mwalimu Bashiru Kwa Cheo Chake Cha Ukatibu Mkuu Mstaafu au Cheo Cha Ubunge Wake, Basi Mheshimuni Hata Umri Wake [emoji120][emoji120]
Nigekuwa mimi ndio mama, ningemrudishie Ukatibu Mkuu wa CCM Bashiru, bila Bashiru CCM ingekuwa hoi bin taabuni kiuchumi na ingebaki omba omba kwa akina MO wachangie pesa, Bashiru alionyesha uthubutu wa kukata mizizi ya majizi ambayo yalitumia nyadhifa zao kupora mali za CCM, nani aiyejua madudu waliyoyafanya Kinana na Makamba walipokuwa makatibu wakuu wa CCM, walivyoifisadi na kujimilikisha mali za CCM ?. Hao wanaomdharau Bashiru ni WIVU tu unaowasumbua kwa kuwa kwa njia moja au nyingine aligusa maslahi yao na wapambe wao. Bashiru ni jiwe lilowekwa pembeni na waashi.
 
Dhambi ya wizi wa kura na kuwanunua wapinzani akiamini ndiyo anaua upinzani itamtafuna miaka yoote ya maisha yake hapa duniani.
Hivi upinzani umeisha nufaika nini tangu Bashiru apoteze vyeo vyake vingine na kupangiwa vyeo vingine? Maana inaonyesha kana kwamba wapinzani wamerudishiwa kura wanazodai Bashiru aliwaibia! Kana kwamba sasa wabunge wao wote aliowanyang'anya ushindi Bashiru, sasa wameshinda!
Kutokana na mwenendo huu inaonyesha Dr. Bashiru anauwezo mkubwa na anaogopwa sana na wapinzani! Mpaka inafika sasa wapinzani wanaungana na CCM kisa Dr. Bashiru. Dr Bashiru hi, Dr. Bashiru hai, hai! (in Zuchu's voice).
 
Ishu ya kupata au kupokea rushwa hakuna uchunguzi uliofanywa juu yake na wala hakuna tuhuma yeyote ilo tuliache sijui imam wa msikiti haimfanyi yeye kuwa mtakatifu...ingekua haya unayoyaongea angeyasimamia alipokua anapata vyeo sidhani kama angepita nyuma nyuma sasa hivi kama bado ni balozi mbona hawaanzi kumwita Balozi Bashiru...
Anaitwa.: Mheshimiwa, Balozi, Dr. Bashiru Ally Kakurwa.
Kama hilo hulijui, lijue sasa!
 
Hakuna anayejali kiasi cha fedha anachoingiza huyo Bashiru, tunazungumzia kuaminika kwake baada ya kauli zake za kipuuzi zilizokosa busara alizotoa kipindi akiwa Katibu mkuu! Alituonyesha kuwa baada ya Musukuma huenda yeye ndio binaadamu mjinga zaidi katika ukanda wa maziwa makuu licha ya elimu aliyokuwa nayo!

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
Hivi wewe uligombea ubunge kupitia upinzani nini? Pole! Jaribu tena 2025 Nafikiri Dr. Bashiru hata husika tena.
 
Lakini kwani alisema uongo?

Ni lini CCM hawakutumia dola kubaki madarakani?

Hata kabla ya bashiru kuwepo walitumia dola vile vile.

Alichofanya bashiru ni kuupasua ukweli...... Ulitaka aseme nini?

Kwamba Chadema wataingia ikulu? Shabash!
Point yangu sio mantiki ya kauli, nashangaa mtoa mada anataka ushahidi wa hii kauli, as if haikusemwa. Na kama haijui, basi asije humu kumuongelea Bashiru, maana atakuwa ni mtu shalllow sana.
 
Hivi upinzani umeisha nufaika nini tangu Bashiru apoteze vyeo vyake vingine na kupangiwa vyeo vingine? Maana inaonyesha kana kwamba wapinzani wamerudishiwa kura wanazodai Bashiru aliwaibia! Kana kwamba sasa wabunge wao wote aliowanyang'anya ushindi Bashiru, sasa wameshinda!
Kutokana na mwenendo huu inaonyesha Dr. Bashiru anauwezo mkubwa na anaogopwa sana na wapinzani! Mpaka inafika sasa wapinzani wanaungana na CCM kisa Dr. Bashiru. Dr Bashiru hi, Dr. Bashiru hai, hai! (in Zuchu's voice).
Bashiru hapendwi na wana ccm wanaojitambua.
Bashiru hapendwi na mamilioni ya watamzania kwa tabia zake za wizi.
 
Hivi wewe uligombea ubunge kupitia upinzani nini? Pole! Jaribu tena 2025 Nafikiri Dr. Bashiru hata husika tena.
Kwa hiyo mtu ambaye hajawahi kugombea ubunge hawezi kuwa na fikra chanya kama zangu inabidi awe na fikra mgando kama zako? Acha ubumunda
 
Nigekuwa mimi ndio mama, ningemrudishie Ukatibu Mkuu wa CCM Bashiru, bila Bashiru CCM ingekuwa hoi bin taabuni kiuchumi na ingebaki omba omba kwa akina MO wachangie pesa, Bashiru alionyesha uthubutu wa kukata mizizi ya majizi ambayo yalitumia nyadhifa zao kupora mali za CCM, nani aiyejua madudu waliyoyafanya Kinana na Makamba walipokuwa makatibu wakuu wa CCM, walivyoifisadi na kujimilikisha mali za CCM ?. Hao wanaomdharau Bashiru ni WIVU tu unaowasumbua kwa kuwa kwa njia moja au nyingine aligusa maslahi yao na wapambe wao. Bashiru ni jiwe lilowekwa pembeni na waashi.
Hata mimi namuona Bashiru ni mtendaji mwenye uthubutu na akipewa nafasi nyingine atafanya mambo makubwa.

Kwanza yule aliyekuwa hajawahi kukosea anyooshe mkono wake!!!!!
 
Umetisha sana mkuu kipindi hicho anaongea kila anachojisikia kusema maana alikuwa na ulinzi wa kutisha.
Mrunndi ana kibri Sana yule na hivi Mwendazake alikuwa mrundi mwenzie wakajua watapikezana UDIKTETA
 
Nigekuwa mimi ndio mama, ningemrudishie Ukatibu Mkuu wa CCM Bashiru, bila Bashiru CCM ingekuwa hoi bin taabuni kiuchumi na ingebaki omba omba kwa akina MO wachangie pesa, Bashiru alionyesha uthubutu wa kukata mizizi ya majizi ambayo yalitumia nyadhifa zao kupora mali za CCM, nani aiyejua madudu waliyoyafanya Kinana na Makamba walipokuwa makatibu wakuu wa CCM, walivyoifisadi na kujimilikisha mali za CCM ?. Hao wanaomdharau Bashiru ni WIVU tu unaowasumbua kwa kuwa kwa njia moja au nyingine aligusa maslahi yao na wapambe wao. Bashiru ni jiwe lilowekwa pembeni na waashi.
Alichokosea yeye ni kwamba baada ya kuwashugulikia hao unaowataja na alipofika juu kawaacha as if hawana madhara kwake,na network nzima nafikiri hakuitambua ukubwa wake,alishindwa hata kujua kuwa nguvu yake ni mweyekiti wake tu,nje ya hapo yeye ni nobody.
 
Bashiru hajawahi Kuwa Mwenye njaa na Tamaa. Ebu lete hyo clip anayosema tutatumia Dola kubaki Madarakani.
Alipopewa cheo fulani alisema kinamtosha na atakuwa mlafi akipewa kingine na kukubali.
 
Pamoja na mapungufu ambayo mengi yalitengenezwa na hayati kupeleka watendaji kutokufikiria athari za wanayotamka. Dr Bashiru ni asset kubwa sana kwa siasa za Tanzania endapo kama ataweza kurekebisha kauli zake za kibabe.

If CCM real needs reforms hawa na mzee Mndolwa wanatosha sana kuleta mabadiliko . Akili kubwa sana.
Kosa la Bashiru sio kauli za kibabe,bali hana msimamo akiona mbele kuna Ugali na Kuku.
 
Back
Top Bottom