Vijana mtajenga kweli kwa bei hizi?

Vijana mtajenga kweli kwa bei hizi?

Leverage

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2021
Posts
2,125
Reaction score
3,169
1. Nondo 22000 kutoka 16000
2. Cement 15000 kutoka 12500
3. Dirisha Aluminium 5*6, 380000 kutoka 250000.
4. Bati Alaf 45000 kutoka 33000.
Hizo ni bei za Dsm sasa sijui kule Mpimwe na Ngarenanyuki hali ikoje?
 
Kujenga ni moyo na kujitoa faham...
Hata ukiwa na laki unajenga babuu sana sana utachelewa

Lasivyo utakuwa unakula vizuri na kuvaa vizuri mjini ila jion ikifika unakuwa mpole chini ya mwamba mmoja.

Na asubuhi unamsikia mkeo nje anaulizwa maswali anajibu we mwamba umelala hata kukoa unaogopa.

Dah... Nashukuru sana mama mwenye nyumba yangu alimsotesha sana Wife usafi chooni nje kumbe mwanaume nafanya finishing bila yeye kujua.
Afu nikaamia mtaa ambao sio mbali kutoka kwake.

Mpaka leo tukikutana stand heshima kama zote.
Na mialiko kibao ya mabinti zake


Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
tajenga tuuuu zitakuja bidhaa mbadala kwenye ujenzi ..kijijini tumekulia nyumba zilizojengwa kwa mawe na kuwekewa mota ya udongo

1. Wengine wanawaza kujenga nyumba ndo mafanikio
2. wngine wanawaza kuoa/olewa ndo mafanikio
3. wengine leisure time ....kusafiri maeneo yenye vivutio mbali mbali
4. wengine wanawaza kuwa na umiliki wa biashara ....
5. wengine wanawaza bia tamu
6. etc
 
nyumba yako ya milele iko kaburini
Hii nyumba haiitaji hata dirisha la aluminum la laki tatu na themanini.. Ni sanda/shuka na geneza tu (kwa wakristo) wa imani nyingine huwa vinapangwa vimiti kwa mwanandani then chepe za kutosha zinafata...

Ngoja kwanza nimskize mwenye nyumba wangu sijui anasemaje make ni nadra sana huyu mzee kunitext whatsapp!


View attachment 2070470
 
1. Nondo 22000 kutoka 16000
2. Cement 15000 kutoka 12500
3. Dirisha Aluminium 5*6, 380000 kutoka 250000.
4. Bati Alaf 45000 kutoka 33000.
Hizo ni bei za Dsm sasa sijui kule Mpimwe na Ngarenanyuki hali ikoje?
Mjini Kuna bana kijijini mvua hakuna sijui tukimbilie wapi
 
Njia ni kutumia njia mbadala za ujenzi kuvikwepa hivyo vifaa.
Kwa sasa atakaezalisha vifaa vya ujenzi mbadala nchini na akauza bei ndogo atazikimbia pesa.
Wenzetu wao wameadvanve sio lazima wakutane na nondo, cement, aluminum au bati Ili kujenga nyumba bora
 
1. Nondo 22000 kutoka 16000
2. Cement 15000 kutoka 12500
3. Dirisha Aluminium 5*6, 380000 kutoka 250000.
4. Bati Alaf 45000 kutoka 33000.
Hizo ni bei za Dsm sasa sijui kule Mpimwe na Ngarenanyuki hali ikoje?
Hata enzi za MKapa wakati pesa ni ngumu watu walijenga.

Tutajenga tuu kwani so kila kitu kimepanda,kwa hiyo pesa ya kuongezea itatoka kwenye vitu vingine.
 
Back
Top Bottom