Vijana mnaofuga ndevu hamna pesa

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,702
36,132
Hunijui sikujui.

Huo ndio ukweli, nyie vijana mnaofuga ndevu kama fashion ya kileo mjini hamna pesa. Kazi yenu kujichubua tu na kutongoza hovyo.

Kwa kuwa wadada wa leo hawajui wanahitaji nini wanashituka wameshabeba mimba zenu na pesa za kuwahudumia hamna.

Fugeni angalau kuku wa kienyeji hapo uani kwa wazazi wenu kuliko kufuga mindevu na pesa hamna.
 
Hunijui sikujui.
Huo ndio ukweli, nyie vijana mnaofuga ndevu kama fashion ya kileo mjini hamna pesa. Kazi yenu kujichubua tu na kutongoza hovyo.

Kwa kuwa wadada wa leo hawajui wanahitaji nini wanashituka wameshabeba mimba zenu na pesa za kuwahudumia hamna.

Fugeni angalau kuku wa kienyeji hapo uani kwa wazazi wenu kuliko kufuga mindevu na pesa hamna.
Weka picha
 
Hunijui sikujui.
Huo ndio ukweli, nyie vijana mnaofuga ndevu kama fashion ya kileo mjini hamna pesa. Kazi yenu kujichubua tu na kutongoza hovyo.
Kwa kuwa wadada wa leo hawajui wanahitaji nini wanashituka wameshabeba mimba zenu na pesa za kuwahudumia hamna.
Fugeni angalau kuku wa kienyeji hapo uani kwa wazazi wenu kuliko kufuga mindevu na pesa hamna.

Sasa wewe inakuuma nini hasa????? maana kwa jinsi navyoona ni kama vile hayakuhusu au dada yako kawa victim??!
 

Attachments

  • c4c0a3ac8d58403ca6b446d53a4d128d.jpg
    c4c0a3ac8d58403ca6b446d53a4d128d.jpg
    55.8 KB · Views: 9
Hunijui sikujui.

Huo ndio ukweli, nyie vijana mnaofuga ndevu kama fashion ya kileo mjini hamna pesa. Kazi yenu kujichubua tu na kutongoza hovyo.

Kwa kuwa wadada wa leo hawajui wanahitaji nini wanashituka wameshabeba mimba zenu na pesa za kuwahudumia hamna.

Fugeni angalau kuku wa kienyeji hapo uani kwa wazazi wenu kuliko kufuga mindevu na pesa hamna.
Ipi tafauti yako na dada ako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom