Vijana Makachu Wafariji Rais Samia Baada ya Msiba wa

Vijana Makachu Wafariji Rais Samia Baada ya Msiba wa

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
774
Reaction score
691
Vijana wa Makachu, wakimfariji Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kuwasili nyumbani kwake Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, tarehe 11 Septemba, 2026, kufuatia kufiwa na Mume wake Marehemu Maalim Hafidh Ameir Hassan aliyefariki dunia katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena Zanzibar, tarehe 07 Septemba, 2026.
IMG-20260911-WA0108.jpg
IMG-20260911-WA0107.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom