Diamond amfariji Rais Samia baada ya msiba

Diamond amfariji Rais Samia baada ya msiba

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
709
Reaction score
634
Msanii wa Muziki wa Kizazi kipya Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akimfariji Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, baada ya kuwasili nyumbani kwake Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, tarehe 09 Septemba, 2026, kufuatia kufiwa na Mume wake Marehemu Maalim Hafidh Ameir Hassan aliyefariki dunia katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena Zanzibar, tarehe 07 Septemba, 2026.
IMG-20260909-WA0227.jpg
IMG-20260909-WA0226.jpg
IMG-20260909-WA0225.jpg
IMG-20260909-WA0224.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom