Dkt. Kaseya amfariji Rais Samia baada ya msiba

Dkt. Kaseya amfariji Rais Samia baada ya msiba

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
723
Reaction score
653
Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Afrika cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa (Afrika CDC) Dkt. Jean Kaseya akimfariji Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kuwasili nyumbani kwake Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, tarehe 08 Septemba, 2026, kufuatia kufiwa na Mume wake Marehemu Maalim Hafidh Ameir Hassan, aliyefariki dunia katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena Zanzibar, tarehe 07 Sept, 2026.

Soma Pia: Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia
IMG-20260908-WA0039.jpg
IMG-20260908-WA0040.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom