Camp Lehigh
JF-Expert Member
- Nov 20, 2018
- 335
- 612
Karibuni vijana wa kike na wakiume nawakaribisha kwenye uzi huu , Labda una changamoto yoyote inayokukabili kwenye maisha hujui jinsi ya kuitatua iweke hapa kuna watu wanaweza kua wmepitia nao changamoto hiyo
Iwe changamoto ya kimahusiano,familia , jamii,uchumi,magonjwa nk
Karibuni. Tusiweke matatizo moyoni unapomuambia mwenzio unakua inaelekea kutatua changamoto.
Karibuni
Iwe changamoto ya kimahusiano,familia , jamii,uchumi,magonjwa nk
Karibuni. Tusiweke matatizo moyoni unapomuambia mwenzio unakua inaelekea kutatua changamoto.
Karibuni