Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,686
- 106,811
Toka nikose penzi lako niko desperateUnanifurahisha hehehehe. Ila all the best ipo siku utafanikiwa
Toka nikose penzi lako niko desperateUnanifurahisha hehehehe. Ila all the best ipo siku utafanikiwa
Wee mwenyewe ulinichinjia bahariniTatizo dogo ana waza topic ngumu ngumu,hebu pitia nyuzi zake utaelewa. Akiweka akili ya kupata mpenzi atafanikiwa vizuri tu
Mtoa mada ushamalizana na changamoto yako zidi ya huyu binti SweetieLee au unasubir ufumbuzi hapa
Na Mimi Nina changamoto
Siku hizi nikinywa pombe sisikiiii ladha kabisa natema nikijitahid kunywa nikimaliza roho inaniuma inanisuta najutia nikilala naota mauza uza au ndo nakaribia kufa nini
nisimjue tu huyo mtu maana...... (acha ninyamaze)
namna ya kuwa na money discipline..Karibuni vijana wa kike na wakiume nawakaribisha kwenye uzi huu , Labda una changamoto yoyote inayokukabili kwenye maisha hujui jinsi ya kuitatua iweke hapa kuna watu wanaweza kua wmepitia nao changamoto hiyo
Iwe changamoto ya kimahusiano,familia , jamii,uchumi,magonjwa nk
Karibuni. Tusiweke matatizo moyoni unapomuambia mwenzio unakua inaelekea kutatua changamoto.
Karibuni
Sahivi nikinywa hazipandi naziona chungu sjui ntakuwa nimerogwa au sjui kitu gani
nyamaza mkuu (ataskia aanze nidengulia)Huyu binti amekonga nafsi yako mkuu
yani ww
Nijiunge na wanawake..yaani niwe kama mwanamke? Niwe Gay???
Nina nini tena bibie pujo
Asee nashindwa kutunza pesa hio kitu inanisumbua sana akiliKaribuni vijana wa kike na wakiume nawakaribisha kwenye uzi huu , Labda una changamoto yoyote inayokukabili kwenye maisha hujui jinsi ya kuitatua iweke hapa kuna watu wanaweza kua wmepitia nao changamoto hiyo
Iwe changamoto ya kimahusiano,familia , jamii,uchumi,magonjwa nk
Karibuni. Tusiweke matatizo moyoni unapomuambia mwenzio unakua inaelekea kutatua changamoto.
Karibuni
😂 😂Mtoa mada ushamalizana na changamoto yako zidi ya huyu binti SweetieLee au unasubir ufumbuzi hapa
Na Mimi Nina changamoto
Siku hizi nikinywa pombe sisikiiii ladha kabisa natema nikijitahid kunywa nikimaliza roho inaniuma inanisuta najutia nikilala naota mauza uza au ndo nakaribia kufa nini
Niko hapa my dia 'controller'.. Si wajua majukumu ya kifamilia na watoto mapacha?leo sijamuona kbsa SweetieLee vijiwe vyake vyote wanasema hajaonekana
Majukumu, majukumu, hasa watoto!Kuna mtu atakua kamficha
mapacha hawa hawa tunaowazungumziaga?Niko hapa my dia 'controller'.. Si wajua majukumu ya kifamilia na watoto mapacha?
Ahsante sana sana.!!mapacha hawa hawa tunaowazungumziaga?
au mapacha yule m1 na baba ake jumla wamekua wawili?
pole na majukumu sio siri una haki ya kupotea!