Vijana karibuni tuambizane changamoto tulizonazo na jinsi ya kuzitatua

Status
Not open for further replies.
Wakuu mimi na tatizo kidogo..naogopa sana watu wa jinsia tofauti na yangu. Yaani kupishana na wanawake watatu njiani bora nikutane na mbwa sitaogopa. Ila girls nakua adi natetemeka..! Shida nini? Nifanyaje ili nisiogope wanawake?
Vipi una demu kweli wa kusafishia rungu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom