True.If you can't defeat em, join em
Jitoe akili kidogomkuu hua najiambia hayo yote kichwani ila tatiyo aibuuuu. sijui zatoka wapi kwakweli, nikiona wasichana nakua mdogo mno siongei kabisa kama sio kuhama. mpaka mtu nimzoee sana.
mimi nawashangaa sana nyie mnaopata madem sijui mnafanyaje. Hua siendi kutoa sadaka sometimes ajili ya hiki..kama nimekaa sehem inayobidi nipite mbele ya wadada mimi siendi
Unanitukana mkuuTrue.
Nitafanya. Sema nikiwa mwenyewe apa nakua na courage ya hali ya juu ila nikiwaona nabadilika. Don't think if I'm normalJitoe akili kidogo
Anza kuzoeana nao taratibu taratibu hata kwa salamu
Nijiunge na wanawake..yaani niwe kama mwanamke? Niwe Gay???Kivipi?
Unadhani ni kwa nini wameshauriana hivyo ?Mie changamoto yangu ni juu ujinga mafurushi yanajazana eti wasitusomeshe, kubwa kuliko ni hili la wauaji.
Nitafanya. Sema nikiwa mwenyewe apa nakua na courage ya hali ya juu ila nikiwaona nabadilika. Don't think if I'm normal
Hawana akili.Unadhani ni kwa nini wameshauriana hivyo ?
Hata wakiwaua wale waliosomeshwa wakakengeuka usishangae sababu ushasema hawana akiliHawana akili.
Numbisa njoo umshauri mdogo wakomkuu hua najiambia hayo yote kichwani ila tatiyo aibuuuu. sijui zatoka wapi kwakweli, nikiona wasichana nakua mdogo mno siongei kabisa kama sio kuhama. mpaka mtu nimzoee sana.
mimi nawashangaa sana nyie mnaopata madem sijui mnafanyaje. Hua siendi kutoa sadaka sometimes ajili ya hiki..kama nimekaa sehem inayobidi nipite mbele ya wadada mimi siendi
Mtatafuta na mtatusomesha tu.Basi usiwashangae ushajibu hapa tayari kuwa hawana akiliHata wakiwaua wale waliosomeshwa wakakengeuka usishangae sababu ushasema hawana akili
Dawa tafuteni na nyie akili ya kujisomesha kuongeza akili wala msishikiwe akili na mkawa hamna akili mkalemaa akili kwa kuwa na akili ya kutafutiwa wakati hata nyinyi mnaweza mna akili ya kutafuta na mkawa zaidi kuliko sisi ambao hatuna akili
Jisomesheni
I will come with a thread.. Mambo sio mepesi upande wangu maana kuna mengi tu yaniandama kuusu mmHaha I know we ulikuwa kama Mimi hata salamu mambo siwaambii na nilikua siwaangalii usoni
haya bibie atoto Siku lile furushi lako linakukaba shingo likunyonge usitupigie makelele majirani tukuokoeMtatafuta na mtatusomesha tu.
I will come with a thread.. Mambo sio mepesi upande wangu maana kuna mengi tu yaniandama kuusu mm
Huyo mzinguaji tu
nisimjue tu huyo mtu maana...... (acha ninyamaze)Kuna mtu atakua kamficha
Nimeipenda hii...Basi usiwashangae ushajibu hapa tayari kuwa hawana akiliHata wakiwaua wale waliosomeshwa wakakengeuka usishangae sababu ushasema hawana akili
Dawa tafuteni na nyie akili ya kujisomesha kuongeza akili wala msishikiwe akili na mkawa hamna akili mkalemaa akili kwa kuwa na akili ya kutafutiwa wakati hata nyinyi mnaweza mna akili ya kutafuta na mkawa zaidi kuliko sisi ambao hatuna akili
Jisomesheni