Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,471
- 11,252
- Thread starter
- #121
Funguka kunguri[emoji2]Nani huyu anasema hakuna koneksheni ngoja nicheke mie [emoji23][emoji23][emoji23]
Na nifunge mdomo wangu
Funguka kunguri[emoji2]Nani huyu anasema hakuna koneksheni ngoja nicheke mie [emoji23][emoji23][emoji23]
Na nifunge mdomo wangu
😅😅😅😅 si wamesema mpaka 2021 so wasiombe au ulimaanisha nn mkuuHalafu huyu aliyemaliza shule mwezi wa kumi eti apewe
Huyo hatak wenzake wapate[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] si wamesema mpaka 2021 so wasiombe au ulimaanisha nn mkuu
we uliombaga?Huyo hatak wenzake wapate
Haziniusuwe uliombaga?
sawa bossHaziniusu
Yani kitu hukijui alafu unakiongelea kwa kujiamini aya endelea.Hi hope mko poa Sana.
Nimeshangaa kuona kijana mmoja eti anataka kutoa 500K kwa kiongozi Fulani ngazi ya wilaya eti atamsaidia kupata kazi Tamisemi.
Yaani huu ujinga wa vijana wa siku hizi ni hatari, wengine wanatoa 50K kwa mkuu wa Shule ili awaandikie Barua za kujitolea eti ndo watapata ajira.
Vijana acheni Ujinga, Tamisemi hakuna Rushwa, watu wanatenda haki hakuna vya Connection Wala Nini, hata mtoto wa waziri hawezi penyezwa kijinga.
Badirika
CoolYani kitu hukijui alafu unakiongelea kwa kujiamini aya endelea.
Namaanisha waombe ila wasijipe matumaini sana na wasitake wawe sawa na kaka na dada zao walio maliza miaka 5 au hata zaidi ya hapo iliyopita kama watakuwepo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] si wamesema mpaka 2021 so wasiombe au ulimaanisha nn mkuu
We jamaa ka msengesenge [emoji2]Huyo hatak wenzake wapate
Aah wote wana equal opportunity ya kupata kwasababu tangazo linasema mpk 2021Namaanisha waombe ila wasijipe matumaini sana na wasitake wawe sawa na kaka na dada zao walio maliza miaka 5 au hata zaidi ya hapo iliyopita kama watakuwepo
Yeah waombe MunguAah wote wana equal opportunity ya kupata kwasababu tangazo linasema mpk 2021
so nikuonba MUNGU tu mwaya
MmmmYeah waombe Mungu
Ng'ombeWe jamaa ka msengesenge [emoji2]
Sasa hata wakipata wasipopata mi inanihusu nini sina hata ndugu yupo kwenye hio kada tuseme labda nampigia chapuo
Mi nimetoa maoni na hali halisi
Waliopata nini?Majina ya waliopata yanatoka lini jamani
Ndo Nini hiiAisee sisi akina Abeid na hizi koo zetu ndefu tusahau kabisa hizi mambo. Yani IT akiona ukoo kama wangu huu anaupiga chini faster[emoji3][emoji3][emoji3] ubaya hakuna mtu mkubwa yeyote wa ukoo wangu[emoji3][emoji3][emoji3] nimegoogle jina la ukoo wangu nimeishia kujiona mm kuchaguliwa a level, jkt na chuo basi[emoji3][emoji3][emoji3] hakuna mwingine niliyemuona. Hope ningeitwa Mollel saiz ningekuwa nipo kwenye mfumo[emoji3][emoji3][emoji3]. Maombi yenu wakuu[emoji404]
BushaWaliopata nini?
Busha au
Mshipa au
nini