Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Mimi sina connection na kipindi nime graduates connection zilikuwepo nyingi tu

Napambana kupoteza hela yangu kutuma maombi posta tena na Ems ,fungua mpka ajira portal [emoji3][emoji3]. Mwenye connection hangaiki

So unakosa unakubali kinyonge tu ipo siku nyengine nitabahatisha wakati ule unakuta kuna watu wapo kitaa miaka 10 na wanakosa ajira mliomba naacha kunung'unika nikijicheki mimi nina mwaka mmoja kitaa nahisi kabisa hapa nakufuru
Daaa hii nchi
 
Hi hope mko poa Sana.

Nimeshangaa kuona kijana mmoja eti anataka kutoa 500K kwa kiongozi Fulani ngazi ya wilaya eti atamsaidia kupata kazi Tamisemi.

Yaani huu ujinga wa vijana wa siku hizi ni hatari, wengine wanatoa 50K kwa mkuu wa Shule ili awaandikie Barua za kujitolea eti ndo watapata ajira.

Vijana acheni Ujinga, Tamisemi hakuna Rushwa, watu wanatenda haki hakuna vya Connection Wala Nini, ATA mtoto wa waziri hawezi penyezwa kijinga.

Badirika
Sasa Mtoto wa Waziri akafanye Nini halmashauri 🤣🤣
 
Hi hope mko poa Sana.

Nimeshangaa kuona kijana mmoja eti anataka kutoa 500K kwa kiongozi Fulani ngazi ya wilaya eti atamsaidia kupata kazi Tamisemi.

Yaani huu ujinga wa vijana wa siku hizi ni hatari, wengine wanatoa 50K kwa mkuu wa Shule ili awaandikie Barua za kujitolea eti ndo watapata ajira.

Vijana acheni Ujinga, Tamisemi hakuna Rushwa, watu wanatenda haki hakuna vya Connection Wala Nini, ATA mtoto wa waziri hawezi penyezwa kijinga.

Badirika
Ccm ndio waliotoa huo muongozo hata usiwakaripie.

Kingine loopholes katika hizi ajira zipo sana tu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hi hope mko poa Sana.

Nimeshangaa kuona kijana mmoja eti anataka kutoa 500K kwa kiongozi Fulani ngazi ya wilaya eti atamsaidia kupata kazi Tamisemi.

Yaani huu ujinga wa vijana wa siku hizi ni hatari, wengine wanatoa 50K kwa mkuu wa Shule ili awaandikie Barua za kujitolea eti ndo watapata ajira.

Vijana acheni Ujinga, Tamisemi hakuna Rushwa, watu wanatenda haki hakuna vya Connection Wala Nini, ATA mtoto wa waziri hawezi penyezwa kijinga.

Badirika
🤔
 
Uongo mkubwaaaaa, watu wa sayansi wanapata bila hizo connection
Sasa uongo wangu uko wapi hapo. Watu wa sayansi watu 20 wanapata bila connection. Wengine hao wote lazima wapitie connection
 
Sasa uongo wangu uko wapi hapo. Watu wa sayansi watu 20 wanapata bila connection. Wengine hao wote lazima wapitie connection
Nyie ndo mnakariri maisha hivi ajira ,9800, ata nusu yake huwez wapata through connection, watu maelfu wanapata ajira bila connection
 
Back
Top Bottom