Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Vijana acheni ujinga, hakuna Mambo ya Connection TAMISEMI

Hi hope mko poa Sana.

Nimeshangaa kuona kijana mmoja eti anataka kutoa 500K kwa kiongozi Fulani ngazi ya wilaya eti atamsaidia kupata kazi Tamisemi.

Yaani huu ujinga wa vijana wa siku hizi ni hatari, wengine wanatoa 50K kwa mkuu wa Shule ili awaandikie Barua za kujitolea eti ndo watapata ajira.

Vijana acheni Ujinga, Tamisemi hakuna Rushwa, watu wanatenda haki hakuna vya Connection Wala Nini, hata mtoto wa waziri hawezi penyezwa kijinga.

Badirika
Mkuu ni bora ungenyamaza tu.... hii nchi ina wenyewe na hakuna kinachoshindikana
 
Hzo connection ziko wapi nmesota mtaani eti nmesota sana, 2016? Dah ee Mungu😥
 
Juzi shoganga katoa laki 5 ili apate posti za ualimu,ukweli ni kua rushwa na koneksheni zipo Sana tu!!yaani michezo Pesa tu
 
Juzi shoganga katoa laki 5 ili apate posti za ualimu,ukweli ni kua rushwa na koneksheni zipo Sana tu!!yaani michezo Pesa tu
Wengine wanaliwa Sana tu, afu PDF ishaandaliwa, na kukamilika kitambo
 
Juzi shoganga katoa laki 5 ili apate posti za ualimu,ukweli ni kua rushwa na koneksheni zipo Sana tu!!yaani michezo Pesa tu
Wengine wanaliwa Sana tu, afu PDF ishaandaliwa, na kukamilika kitambo
 
Huyo katoa ndogo, itakuwa haina madalali hiyo moja kwa moja anaichukua mkubwa zile za madalali ni ndefu mara tatu ya hapo.
Yaani mtu anatoa 1.5m, inamaana baada ya mkeka kukamilika bado Kuna watu wanaweza kuondoa baadhi ya majina na kuweka yao
 
Juzi shoganga katoa laki 5 ili apate posti za ualimu,ukweli ni kua rushwa na koneksheni zipo Sana tu!!yaani michezo Pesa tu
Mwaka 2020 Kuna mtu alitoa 1m akapata, 2021 akamdirect mtu, na kutoa 1m, huyo mtu akakosa[emoji2][emoji2][emoji2]
 
[emoji119][emoji119][emoji2532][emoji119] DAAAH TAMISEMI WATOE TU HIYO PDF MANA MANENO YASEMWAYO NI MENGI
 
Back
Top Bottom